Manispaa ya Mwanza kuna watu hawajui Kiswahili washindwa kuelewana na makarani wa sensa

Manispaa ya Mwanza kuna watu hawajui Kiswahili washindwa kuelewana na makarani wa sensa

Nimecheka sana ITV karne hii kuna watu hawajui kiswahili.

Karani wa sensa amekuwa katika wakati mgumu leo kuelewana na mwananchi.

Kila akiulizwa anajibu nahene jawiza mayo. Hapo ni kisesa ,ndani ya manispaa kabisa nauli 600 kwenda mjini, sio kijijini
Mtu kama huyo ukimlazimisha kujua Kiswahili huenda maisha yake yakayumba vibaya, kutojua Kiswahili ndiyo salama yake
 
Hili zoezi liende vizuri na kwa mda mfupi ingefaa wananchi kupitia serikali za mitaa wagawiwe form za maswali wazijaze mapema baada ya kujaza mabalozi wa nyumba kumi wazikusanye wazipeleke serikali ya mtaa maana changamoto ya kuwakuta watu wote nyumbani nayo ni kikwazo, mabalozi na wajumbe wao ndio ujua idadi halisi ya wakaazi wa eneo husika kupitia madaftari yao. Then makarani wa sensa ndio waende ofisi za serikali za mtaa wazifeed SAsa data kwenye system, ni mabalozi wa nyumba kumi kwa kushirikiana na wajumbe wao pamoja na makarani wa sensa wangeweza fanya zoezi hili kwa ufanisi zaidi.
 
Kwa hiyo huyo karani siyo mzawa wa Mwanza aliwezaje kupata hiyo nafasi wakati hajui lugha ya mawasiliano mahala anapoenda kufanya sensa ..

Hao jamaa wamefanya makusudi kwa kuwaa ajora za sensa hazikuzingatia wanufaika wa maeneo husika.

Wala siyo la Kushangaa bali tujishangae sisi kumchukuwa Mtu kutoka Kigoma kwenda kufanya kazi ya Ukarani usukumani tena kwenye Eneo ambalo hajawahi kulikanga wala kuishi maeneo husika
Kuna swala la kutumia simu pangusa pia kujaza data na sio karatasi
 
Kwa hiyo huyo karani siyo mzawa wa Mwanza aliwezaje kupata hiyo nafasi wakati hajui lugha ya mawasiliano mahala anapoenda kufanya sensa ..

Hao jamaa wamefanya makusudi kwa kuwaa ajora za sensa hazikuzingatia wanufaika wa maeneo husika.

Wala siyo la Kushangaa bali tujishangae sisi kumchukuwa Mtu kutoka Kigoma kwenda kufanya kazi ya Ukarani usukumani tena kwenye Eneo ambalo hajawahi kulikanga wala kuishi maeneo husika
Makarani wa mchongo wanaumbuka field
 
Hapo cha ajabu ni nn mtu kuongea lugha yake asili au shda ni kuwa mwanza alaf kiswahili akipandi vzur. Watu wa dsm mnatuchukuliaj cjui mbna mnajikuta nyie ndo modern
 
Hapo cha ajabu ni nn mtu kuongea lugha yake asili au shda ni kuwa mwanza alaf kiswahili akipandi vzur. Watu wa dsm mnatuchukuliaj cjui mbna mnajikuta nyie ndo modern
 
Back
Top Bottom