Mshangazi mamboIla wa bongo wengi wenye nafasi serikakini, kuiba hawajui kabisaaaa, na kwa awanu hii wanajua hakuna lolote wata fanyiwa. Hata chai uchoyo kisha kuiba.. Kitu rahisi cha bei ndogo kunotiwa..
Elimu muhimu kila mahala kwa kweli. π Hawana za kismati.
Posho mtapewa hakuna anaweza kukuzurumu tumepeleka dodoso namana pesa mwezi wa saba ikiingia kama hujaitengenezea bajeti inakuwa bakaa so pesa kabla ya bakaa na baada imeingia keshokutwa wanapelema bank checklist kisha unapewa pesa yako yote TUIPENDE NCHI YETUManispaa ya Temeke wamekata posho ya waandikishaji wa orodha ya wapiga kura licha ya wengi wao Leo kukosa chai Rais Samia anahujumiwa. Habari ndio hiyo Rais Samia ana hujumiwa na watendaji wake wa chini
Leo katika semina hiyo kulikuwa na mauza uza baada wa washiriki wa semina kukosa chai asubuhi Kata 4 zilizokuwa na washiriki takribani 100 kama hiyo haitoshi Hadi posho stahiki ya kazi hii Maalumu na muhimu kwa Mustakabali Mpana wa kupata viongozi kuingia dosari Hali iliyosababisha manung'uniko kutoka kwa washiriki hao.
Waziri mwenye dhamana Mhe Mchengerwa fuatilia kwa makini Manispaa ya Temeke katika kazi Maalumu na muhimu kama hii usicheke na kima ccm utashindwa mapema sana kabla ya mwakani haiwezekani mtenge posho kwa watekelezaji wa zoezi la uchaguzi halafu wanatokea watu wachache pale manispaa kukwamisha Juhudi za Mama kurudi madarakani mwakani kwa makusudi kabisa.
Hii haikubaliki na haitakubalika Kamweeeee.
Mama Samia wanaokukwamisha ni wale unaowaamini safari hii kaza buti haswaaa
OR TAMISEMI
View attachment 3118120
Yani hamna huruma hata kwa watanzania wenzenu. Hiyo dhulma hawana haki ya kuwaibia posho zao.Chai kanywe kwako
Mambo mengine kubali tu yawapite
20,000 kwa sikuKwani posho ni sh ngapi kwanza tuanzie hapo Ili tuone wezi wanaiba kiasi gani.
Tatizo wanagombaniaUmekosa chai?
Acha upumbavu Rais Samia hahujumiwi, bali Serikali ya JMT ndio inahujumiwa. Kwa ujinga wenu mtapigwa hadi mchakaeManispaa ya Temeke wamekata posho ya waandikishaji wa orodha ya wapiga kura licha ya wengi wao Leo kukosa chai Rais Samia anahujumiwa. Habari ndio hiyo Rais Samia ana hujumiwa na watendaji wake wa chini
Leo katika semina hiyo kulikuwa na mauza uza baada wa washiriki wa semina kukosa chai asubuhi Kata 4 zilizokuwa na washiriki takribani 100 kama hiyo haitoshi Hadi posho stahiki ya kazi hii Maalumu na muhimu kwa Mustakabali Mpana wa kupata viongozi kuingia dosari Hali iliyosababisha manung'uniko kutoka kwa washiriki hao.
Soma Pia: Waboreshaji Daftari la Kudumu la wapiga kura Kigoma wanyimwa posho ya nauli siku za kazi licha ya tangazo la Mkurugenzi wa Tume Huru kuonesha malipo
Waziri mwenye dhamana Mhe Mchengerwa fuatilia kwa makini Manispaa ya Temeke katika kazi Maalumu na muhimu kama hii usicheke na kima ccm utashindwa mapema sana kabla ya mwakani haiwezekani mtenge posho kwa watekelezaji wa zoezi la uchaguzi halafu wanatokea watu wachache pale manispaa kukwamisha Juhudi za Mama kurudi madarakani mwakani kwa makusudi kabisa.
Hii haikubaliki na haitakubalika Kamweeeee.
Mama Samia wanaokukwamisha ni wale unaowaamini safari hii kaza buti haswaaa
OR TAMISEMI
Posho mtapewa hakuna anaweza kukuzurumu tumepeleka dodoso namana pesa mwezi wa saba ikiingia kama hujaitengenezea bajeti inakuwa bakaa so pesa kabla ya bakaa na baada imeingia keshokutwa wanapelema bank checklist kisha unapewa pesa yako yote TUIPENDE NCHI YETU
Jobless wengi wanaharibu kazi za serikali halafu pakuwapata wakiharibu hakuna.Nyie SI watumishi wazee mnashindwa kujinunulia chai duh?
Sasa serikali hizi kazi SI wangewapa jobless tu wapate chochote kitu
una kadi?πππHizo nafasi mmepataje kwanza, mbona hatukuona tangazo.
Tatizo hata hizo kazi zenyewe mara nyingi( halmashauri) nyingi kupatikana kwake hua kuna uwalakini saana?Manispaa ya Temeke wamekata posho ya waandikishaji wa orodha ya wapiga kura licha ya wengi wao Leo kukosa chai Rais Samia anahujumiwa. Habari ndio hiyo Rais Samia ana hujumiwa na watendaji wake wa chini
Leo katika semina hiyo kulikuwa na mauza uza baada wa washiriki wa semina kukosa chai asubuhi Kata 4 zilizokuwa na washiriki takribani 100 kama hiyo haitoshi Hadi posho stahiki ya kazi hii Maalumu na muhimu kwa Mustakabali Mpana wa kupata viongozi kuingia dosari Hali iliyosababisha manung'uniko kutoka kwa washiriki hao.
Soma Pia: Waboreshaji Daftari la Kudumu la wapiga kura Kigoma wanyimwa posho ya nauli siku za kazi licha ya tangazo la Mkurugenzi wa Tume Huru kuonesha malipo
Waziri mwenye dhamana Mhe Mchengerwa fuatilia kwa makini Manispaa ya Temeke katika kazi Maalumu na muhimu kama hii usicheke na kima ccm utashindwa mapema sana kabla ya mwakani haiwezekani mtenge posho kwa watekelezaji wa zoezi la uchaguzi halafu wanatokea watu wachache pale manispaa kukwamisha Juhudi za Mama kurudi madarakani mwakani kwa makusudi kabisa.
Hii haikubaliki na haitakubalika Kamweeeee.
Mama Samia wanaokukwamisha ni wale unaowaamini safari hii kaza buti haswaaa
OR TAMISEMI
Hiki ni kisingizio kisicho na maana. Sababu ipo na sio hii uliyoandika hapa.Jobless wengi wanaharibu kazi za serikali halafu pakuwapata wakiharibu hakuna.