Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Kipindi cha mwendazake TAKUKURU kilikuwa chombo cha kukomoa watu waliopishana naye, ni suala la muda tu akina Seth wataachiwa, ndiyo maana mwendazake alikuwa anapenda kuweka wanajeshi kwenye hizi taasisi ili kutisha watu. Manji karudi siyo kwamba yeye ni mjinga bali amehakikishiwa usalama wake, na hata kama kuna kesi dhidi yake basi zitafuata utaratibu na sio shinikizo kutoka kwa yeyoteTAKUKURU sasa inaonesha hawafanyi kazi kwa shindikizo au mbinyo bali wanafuata taratibu na kanuni mpaka watapomaliza suala hili.
Hii ni hatua Mpya katika namna ya taasisi hii muhimu ya utawala bora Tanzania inavyochapa kazi zake kipindi hiki cha serikali ya awamu ya sita.
Kipindi cha mwendazake TAKUKURU kilikuwa chombo cha kukomoa watu waliopishana naye, ni suala la muda tu akina Seth wataachiwa, ndiyo maana mwendazake alikuwa anapenda kuweka wanajeshi kwenye hizi taasisi ili kutisha watu. Manji karudi siyo kwamba yeye ni mjinga bali amehakikishiwa usalama wake, na hata kama kuna kesi dhidi yake basi zitafuata utaratibu na sio shinikizo kutoka kwa yeyote
Kwa utawala wa huyu mama yetu naamini hata kabla ya kukanyaga Airport alikwisha pewa green light ya kuishi Tanzania kwa amani.Je, passport yake wamechukua? Vipi bank accounts zake ana access nazo 24/7? Only time will tell.
Kipindi cha nyuma ilikuwa ni mwendo wa amri tuuuTAKUKURU sasa inaonesha hawafanyi kazi kwa shindikizo au mbinyo bali wanafuata taratibu na kanuni mpaka watapomaliza suala hili.
Hii ni hatua Mpya katika namna ya taasisi hii muhimu ya utawala bora Tanzania inavyochapa kazi zake kipindi hiki cha serikali ya awamu ya sita.
Jiwe kesha kufaAmerudia, drama zake za kipindi kile.
Mange KimambiKwahiyo najiuliza kama takukuru ilikua na kesi ya kumshataki manji mbona hawakumfuatilia kuke alipo nje ya nchi, ina maana watu wakitoroka nchini wanakua salama zaidi na ni ngumu kuwashitaki? Tangu 2018 leo mnakuja kufufua kesi baada ya muhusika kurudi nchini
Shindikizo ndio nini?TAKUKURU sasa inaonesha hawafanyi kazi kwa shindikizo au mbinyo bali wanafuata taratibu na kanuni mpaka watapomaliza suala hili.
Hii ni hatua Mpya katika namna ya taasisi hii muhimu ya utawala bora Tanzania inavyochapa kazi zake kipindi hiki cha serikali ya awamu ya sita.