Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,430
- 11,813
Kuna watu awamu zilizopita walikuwa huwaambii kitu wewe afisa wa kawaida hata CEOs ktk kutimiza majukumu yao ya kawaida, yeye anawasiliana na watu wa ikuli ndipo simu zipigwe kushuka chini .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbongo bana🤣Ilikuwa lazima apite hapo ili Ku clear maana asingefanya hivyo mafaili yangebaki yana hang so ilikuwa clearance tayari kuanza kazi
TANZANIA KUNA VIWANDA VYA UONGO.Mbongo bana🤣
Mbongo anajua kila kitu tena hata kabla hakijatokea yeye anajua itakuwaje.
Mbongo hanaga msamiati wa SIJUI au SIFAHAMU.
Mbongo hata ukimuuliza Rocket zinatengenezwaje ataelezea mwanzo mwisho hata kama hajui Rocket ni kitu gani
Diwwni wa CCM (aliyekua)Hii ndio taarifa mpya kutoka kwenye magazeti ya Tanzania , bado haijafahamika kama ameachiwa moja kwa moja au analiwa timing , bali ifahamike kwamba ni wachache wanaogusa ofisi ya TAKUKURU Wakatoka salama , kuna mmoja tayari yuko Kisongo
View attachment 1808537
Kamanda uwe unauliza maswali fikirishi basi. Sasa unauliza mawe mlimani, au maji ziwani, ili tukueleweje?Kwani alitoroka nchi?
MzugajiHii ndio taarifa mpya kutoka kwenye magazeti ya Tanzania , bado haijafahamika kama ameachiwa moja kwa moja au analiwa timing , bali ifahamike kwamba ni wachache wanaogusa ofisi ya TAKUKURU Wakatoka salama , kuna mmoja tayari yuko Kisongo
View attachment 1808537
Ndipo la Bashite linapoenda kuanzia hapoHii ndio taarifa mpya kutoka kwenye magazeti ya Tanzania , bado haijafahamika kama ameachiwa moja kwa moja au analiwa timing , bali ifahamike kwamba ni wachache wanaogusa ofisi ya TAKUKURU Wakatoka salama , kuna mmoja tayari yuko Kisongo
View attachment 1808537
Kati ya vichwa smart Manji ni mmoja wao, tofauti na MO.Je, passport yake wamechukua? Vipi bank accounts zake ana access nazo 24/7? Only time will tell.
Umeisha hiyo.....Hii ndio taarifa mpya kutoka kwenye magazeti ya Tanzania , bado haijafahamika kama ameachiwa moja kwa moja au analiwa timing , bali ifahamike kwamba ni wachache wanaogusa ofisi ya TAKUKURU Wakatoka salama , kuna mmoja tayari yuko Kisongo
View attachment 1808537
Kati ya vichwa smart Manji ni mmoja wao, tofauti na MO.
Huyu jamaa tayari alishanusa kitakachofiata hivyo hawakuweza kuchukua hata sent yake iliyokua bank zaidi waliambulia zilizokua kwenye mzunguko na kuharibu ma kupora mali zake.
Wabongo haooo[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Mbongo bana[emoji1787]
Mbongo anajua kila kitu tena hata kabla hakijatokea yeye anajua itakuwaje.
Mbongo hanaga msamiati wa SIJUI au SIFAHAMU.
Mbongo hata ukimuuliza Rocket zinatengenezwaje ataelezea mwanzo mwisho hata kama hajui Rocket ni kitu gani
Fisadi tu na Wakwepa kodi.Kipindi cha mwendazake TAKUKURU kilikuwa chombo cha kukomoa watu waliopishana naye, ni suala la muda tu akina Seth wataachiwa, ndiyo maana mwendazake alikuwa anapenda kuweka wanajeshi kwenye hizi taasisi ili kutisha watu. Manji karudi siyo kwamba yeye ni mjinga bali amehakikishiwa usalama wake, na hata kama kuna kesi dhidi yake basi zitafuata utaratibu na sio shinikizo kutoka kwa yeyote
Drama tuKipindi cha nyuma ilikuwa ni mwendo wa amri tuuu
Imerudi hiyo tena. Hiyo TAKUKURU iko remoted. Ngoja wana clear files zake na Omo zao za kiuchunguziJamaa zamani nasikia alikuwa hashikiki [emoji108][emoji108]
Dharau kama zote na kiburi!
Alikuwa anadharau maofisa watumishi wa chini yeye anaongea na watu wa Ikuli kisha amri zinashuka kupitia kwa CEOs !
Utajaza mwenyewe kijakazi wakeTaarifa au Swali.?
Huyu arosto ndiyo inamsumbua,kama wakitaka kuendelea kumzuia wampe na ngada zake vinginevyo atawafia mikononi mwao.Hii ndio taarifa mpya kutoka kwenye magazeti ya Tanzania , bado haijafahamika kama ameachiwa moja kwa moja au analiwa timing , bali ifahamike kwamba ni wachache wanaogusa ofisi ya TAKUKURU Wakatoka salama , kuna mmoja tayari yuko Kisongo
View attachment 1808537