Manji aachiwa na TAKUKURU kwa dhamana

Jinai haifi wala haiozi
 
Jamaa zamani nasikia alikuwa hashikiki [emoji108][emoji108]

Dharau kama zote na kiburi!

Alikuwa anadharau maofisa watumishi wa chini yeye anaongea na watu wa Ikuli kisha amri zinashuka kupitia kwa CEOs !
Nguvu ya pesa hiyo
 
Imerudi hiyo tena. Hiyo TAKUKURU iko remoted. Ngoja wana clear files zake na Omo zao za kiuchunguzi
Haijawahi kuondoka. Tofauti ni aina ya maagizo yaliyokuwa yakitolewa. High profile individuals kama hao lazima maagizo yawepo.
 

Ninaunga Mkono pia ninafikiri umesahau kusema kuwa Kesi za kubambikiwa zilikuwa Nyingi sana haswa kwenye kipindi cha Mwendazake maana alikuwa akikukosa kwenye suala ambalo amekuhukumu nalo basi atakutafuta kwingine tuu.
Ndio maana hata Tasisi kama TAKUKURU zilikuwa haziwezi kufanya kazi zake vizuri kutokana na Shindikizo kutoka kwa mtu au juu.
 
Believe this and you'll believe anything!
 
Je, passport yake wamechukua? Vipi bank accounts zake ana access nazo 24/7? Only time will tell.
Account bado zina hela? Hakuna notice of urgency sababu ya pending cases?
Manji, kwani lazima afanye biashara Tanzania? Na Tanesco au kuna mteja mwingine?
 
Kuna sheria inayomzuia Mtanzania kufanya biashara Tanzania? Kwani aliyekwambia mfanyabiashara mkubwa kama Manji anafanya biashara na mteja mmoja ni nani?
Account bado zina hela? Hakuna notice of urgency sababu ya pending cases?
Manji, kwani lazima afanye biashara Tanzania? Na Tanesco au kuna mteja mwingine?
 
Alienda kushake hands tu, huu ni mwaka wa upatanisho
 
Ni kweli hii ni mbinu ya kumsafisha
 
Ila Mwenyezi Mungu anajua Aseee...mi sitaki hata kuamini eti haya mabadiliko yooote ni kama naota vile jus imagine tunaenda siku ya 90[emoji1745][emoji1745][emoji1745][emoji134][emoji134][emoji134][emoji849]


Tunaojiona watoto tukue asee na tuijue dunia na matendo yetu[emoji22]

Binafsi kwenye uongozi wa Jiwe a.k.a Jabali/ Mwamba,ndo fahamu na siasa ilianza kuniingia na kutaka kujua mustakabali wa nchi yangu!

Huko kwa Vasco da Gama nilikuwa shule, so sikufuatilia chochote [emoji848]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…