Manji aachiwa na TAKUKURU kwa dhamana

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ ulikunywa kilevi kipi hadi ukalewa?
Hivi we jamaa juzi na article yako ya R.Kelly nikalewa bure hakuna cha out wala nini nikadhani umelambwa ban[emoji1787][emoji1787][emoji1787]



Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ulikunywa kilevi kipi hadi ukalewa?
Heineken full kulewaa....badae nikashangaa uzi wako mod akalala nao mbele[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Nilitegemea ulimwe life ban lione[emoji57][emoji57][emoji57]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Reactions: BAK
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ niliweka sahihisho kwamba ilikuwa si kweli. Kuna mtu kule Twitter alianzisha uzushi basi ndani ya masaa machache ukasambaa kama moto hadi vyombo vya habari vikubwa vilivyotafuta uthibitisho ndiyo ikajulikana kwamba bado yuko nyumba kubwa.
Heineken full kulewaa....badae nikashangaa uzi wako mod akalala nao mbele[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Nilitegemea ulimwe life ban lione[emoji57][emoji57][emoji57]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Kwahiyo jamaa hawamtemi? Bado wanae?


Ooh my R.Kelly[emoji22][emoji22]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Reactions: BAK
Takukuru watakuja kusema Hana Hatia
Na Manji ataendelea na shughuli zake.
 
Hata kesi zake kule New York na Chicago hazijaanza kusikilizwa nadhani zimechelewa kusikilizwa kwa sababu ya COVID. Ana hali mbaya.
Masikini atajifia tu humo kwenye cell[emoji22][emoji22]

Mwambie akaze kama babu Cosby, huoni ana 80's lakini bado kakaza brighter future ahead, full matumaini[emoji848][emoji848]... Sasa yy 50's ana wenge mwambie atulie

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Reactions: BAK
Je, passport yake wamechukua? Vipi bank accounts zake ana access nazo 24/7? Only time will tell.
Account bado zina hela? Hakuna notice of urgency sababu ya pending cases?
Manji, kwani lazima afanye biashara Tanzania? Na Tanesco au kuna mteja mwingine?
Kuna sheria inayomzuia Mtanzania kufanya biashara Tanzania? Kwani aliyekwambia mfanyabiashara mkubwa kama Manji anafanya biashara na mteja mmoja ni nani?

Wewe ndio umeniambia. Maana Manji ni mtanzania wa kwanza kuwa na passport mbili na bado akawa mtanzania.
Uchawa una kazi sana
 
Hebu twambie ana passport ipi ya nchi nyingine? Hukusikia kuhusu kesi FAKE 147 zilizofutwa na Samia kutokana na hizo BOGUS INSTITUTIONS kuwa busy kuwabambikia Watanzania wasio na hatia kesi FAKE kisha kuwapora mabilions yao? Acha KUKURUPUKA na kuonyesha UJUHA hadharani!!!!

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…