Manji aanza mkakati wa ujenzi wa uwanja yanga


yaani hicho chote ulichoandika ndo kimedhihirisha namna gani ulivyo mtindiga tena aliyekomaa hadi anatoa unga...! Tena we hujui chochote kuhusu hata hiyo yanga yako. Ila kwa kukusaidia tu hebu kumbuka habari za Costa na Amri said ilikuwaje? Yanga haikuingia cha kike? huyo twite mwenyewe mbona mmekubali kurudisha pesa kama sio utindiga ni nini? Eti klabu kubwa ina wasomi lakini inakuja kuburuzwa na mzee Akilimali ambaye hata ukimpa The Guardian hajui kilichoandikwa kama sio utindiga nini? Timu yenye washabiki wa kuridhisha lakini wanaosubiri kulipiwa na kupewa kadi za bure na mwenyekiti kama sio utindiga ni nini..? Mkadanganywa kagere anakuja, mkasubiri u/taifa holaaa...! Kama sio utindiga nini..? Kama uwanja jengeni kwa kuwa ni kitu muhimu na cha maendeleo, na pia kitaleta changamoto kwa simba nao kuacha longolongo. Wasichotaka watu ni hizi kelele na tambo zisizo na maana. Isije ikawa kama msanii underground anayewadanganya rafk zake kila wakati anaenda kutoa single lakini wapi. Anaishia kuwaimbia kijiweni hadi anafulia. Chukueni hatua hatutaki stori.
 
hawa jamaa walivyofungwa Mbeya wakasema ni Kocha, wakaishia kumfukuza na viongozi wengine. Juzi mchezo wa Simba ilikuwa wafungwe na hawa watu walivyo wajinga (samahani sina neno lingine zaidi ya hilo) hawajasema lolote maana njaa zao zimepata mtu anayezijua. Jana Bukoba wamefungwa nipo hapa nangoja sababu watakayotoa ....ukweli ukibaki pale pale kuwa mpira wa timu hii sasa unaendeshwa kwenye media zaidi ya uwanjani!
Ninachotaka kujua ni kama watamfukuza huyo M/kiti wa sasa (ambayo ni ngumu) ambaye anataka kuwajengea huu uwanja na uwe mwisho wa hilo wazo.
Lakini kama hapo kwenye red, hilo wazo lingekuwa relevant endapo kungelikuwa na makubaliano rasmi ya mradi huu na sio ya "nipe uenyekiti nijenge ghorofa/uwanja".
Wajinga ndio waliwao kweli

 
 

Kweli Mtani, hakuna kinachoshindikana panapo fedha..
1. Hivi yule Mhandisi ambae alisaini mkataba kuanza kazi ya ujenzi wa uwanja utakaobeba washabiki 40,000 na paking ya magari 1,000, kazi yake inaendeleaje?
2. Na vipi kuhusu ile safari yenu ya kuelekea mji wa "maendeleo ya kweli" mmefika, au bado mnachanja mbuga?
 


HUU NI KUZARA YANGA.MTU ANAKOJOLEA UKUTA
 
Ha ha ha mkuu umeifuukua hii mada atie?
 
Hii ilikua plani ya uwanja wa Yanga, kabla ya kujengwa, ni huu uwanja wao wa kisasa wanaoutumia hivi sasa, ambao hubeba mashabiki 40,000 na una pakingi yenye uwezo wa kubeba magari 10,000.
 
Safi sana Manji , vitu vyako tumeona , mwezi decemba yanga kuchezea ligi kaunda .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…