Manji aliamsha dude; ameahirisha safari ya Yanga kesho kwa gari, watasafiri kwa ndege

Jamaa pesa anayo, itabidi tu mashetani waishi kama malaika maana malaika wamegoma kuishi kama mashetani
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]..... Mtani nimekumbuka uliwahi kuwapa matumaini 'mbumbumbu' wenzio humu kuwa point zenu za FIFA zinarejeshwa. Lakini mpaka sasa bado labda zitakuja mwisho wa msimu huu wa ligi... Aah ah, sasa, bandiko linaongelea safari ya Yanga kwa ndege na ikimuhusu Manji, swala la huyo unaesema amefanyiwa kitu Zanzibar limeingiaje hapo?
 
Japo Mimi si shabiki wa Yanga ila nitaendelea kuwa Shabiki (follower)wa Manji kwa moyo wake wakuendelea kuisaidia Yanga kwa hali na mali
 

Huna ujanja wowote wala utoto wa mjini zaidi ya ulimbukeni na ushamba wa kizamani
Wewe sio msemaji wa yanga wala Manji
 
Acha Ujinga / Ungumbaru suala lililopo mezani sasa ni hili la Manji kurudi na kuisaidia Yanga SC na jinsi linavyopotoshwa na akina Mkwasa na Kitenge kwa ' maslahi ' yao na ' kujipendekeza ' Kwao Kwake.

Manji atarudi na mchakato wa mabadiliko ya mfumo wa uendeshaji wa klabu haukwepeki yanga

Daima mbele.....
 

Tukitaka habari za yanga tutazipata kwa msemaji na viongozi wa club

Canavaro ni mchezaji na hausiki na maswala ya kiutawala
 
Wastaarabu wa dunia hii wanasema Once a King always a King...Manji ana utajiri uliojikita kwenye familia toka Babu,Baba na yeye mwenye kauongeza maradufu!
 
Hivi wale viongozi wa simba wenye kesi ya utakatishaji wameshatoka korokoroni?
 

Mbona povu linakutoka
 

ili povu litapendeza ukifulia boxxer.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…