Manji aliamsha dude; ameahirisha safari ya Yanga kesho kwa gari, watasafiri kwa ndege

Manji aliamsha dude; ameahirisha safari ya Yanga kesho kwa gari, watasafiri kwa ndege

Hakuna kitu kama hicho wala ukweli wowote hapo ila kinachofanyika sasa ni Yanga ' kujipendekeza ' kwa Manji ili ' kumshawishi ' arejee Yanga na anayefanya / anayeratibu huu ' upuuzi ' wote ni Katibu Mkuu wa Yanga Mkwasa na Mtangazaji wa ' hovyo hovyo ' wa Efm na mwana Yanga ' lia lia ' kabisa Maulid Kitenge.

Kadri uzi huu utakavyokuwa unaendelea mbele nitakuja kuelezea ' kiundani ' kabisa tabia za huyo Kijana Kushoto Kwako pichani ambaye ni ' Komandoo ' wa Yanga SC aitwae Carlos Ze Don kisha ndipo mtajua ni kwaninu huwa anapenda sana ' kujikombakomba ' kwa Manji.

Carlos Ze Don ameacha historia ya aibu sana Visiwani Zanzibar hasa kipindi kile cha mashindano ya Kombe la Mapinduzi ambapo alichofanyiwa na Wazanzibari kilimfanya hadi ' azimie ' kabisa na akawahishwa jijini Dar es Salaam kwa matibabu ' maalum ' na nakumbuka alikaa karibia miezi miwili hatoki ndani na anakwepa Watu.

Ukitaka kujua kama Manji amerudi Yanga au hapana mtafuteni jibu ambalo Nahodha wa ' kulazimisha ' wa Yanga SC Nadir Haroub ' Cannavaro ' kisha awaambieni jibu ambalo Manji alimpa siku ile Kesi yake ikifikia kikomo pale Kisutu ila ninachojua ni kwamba Manji alimwambia Cannavaro kwamba kwa sasa anaomba wamuache kwani ' amechanganyikiwa, amerudishwa nyuma na anataka kujipanga upya kiuchumi ' ila akawaelekeza waende kwa ' Tajiri ' mmoja mwenye Ofisi zake jirani na Benki ya Kizalendo pale Posta ili awasaidie kwa sasa. Na Manji hakumuacha hivi hivi Cannavaro ambapo alimuuliza Swali ambalo lilimfanya Cannavaro ainame chini kwa aibu na kushindwa kulijibu ambapo alimuuliza kwamba inakuwaje wakati wote wa Kesi alikuwa hawaoni pale Kisutu kumuunga mkono ila sasa ameshinda Kesi ndiyo wanajifanya kumkumbuka na kuwa karibu nae?

Wana Yanga mtawadanganya wasio na akili humu ila kwa Sisi Wajanja wa mjini / Watoto wa mjini na tunaojua michezo yote ya hatari na Siasa zetu hizi za Simba na Yanga wala hamuwezi kutupata. Manji wala hana haja tena na Yanga SC na hafikirii tena kuwasaidieni ila semeni tu ukweli kwamba kuna Waziri wenu mmoja wa Wizara ' Nyeti ' ambaye anawapenda Yanga kuliko hata wale Watu ' wasiojulikana ' ndiyo amewashawawishi Marafiki zake kadhaa ' matajiri ' wenye mahaba na Yanga ndipo ' wamejichanga ' jana mchana na leo Timu ikaondoka na Ndege kwenda ' Kufungwa ' huko Kagera na Shinyanga.

Endeleeni kuwadanganya ' wajinga wajinga ' ila Manji ameshajivua rasmi Yanga SC.

Nimemaliza.
e80a79adda2e0cb99a2c4d1605ffcd9b.jpg
 
Na ndiyo maana ' matahaira ' wengi wanaopatikana nchini Tanzania wana Mapenzi / Ushabiki na Yanga SC. Simba SC kumejaa ' Majiniasi ' tupu na ndiyo maana unaona sasa tunaenda vizuri na karibia tu na Sisi tutakuwa kama TP Mazembe au Liverpool FC au FC Barcelona au AC Milan au PSG au Kaizer Chiefs au Asante Kotoko au Canon Sports au Enyimba FC au Zamaleck FC ' Kimaendeleo ' na kuwaacheni nyie mkijikombakomba kwa ' Panjuani ' Manji.
Hivi wale "majiniasi" wenye kesi ya kutakatisha pesa wamefikia wapi?
 
Hakuna kitu kama hicho wala ukweli wowote hapo ila kinachofanyika sasa ni Yanga ' kujipendekeza ' kwa Manji ili ' kumshawishi ' arejee Yanga na anayefanya / anayeratibu huu ' upuuzi ' wote ni Katibu Mkuu wa Yanga Mkwasa na Mtangazaji wa ' hovyo hovyo ' wa Efm na mwana Yanga ' lia lia ' kabisa Maulid Kitenge.

Kadri uzi huu utakavyokuwa unaendelea mbele nitakuja kuelezea ' kiundani ' kabisa tabia za huyo Kijana Kushoto Kwako pichani ambaye ni ' Komandoo ' wa Yanga SC aitwae Carlos Ze Don kisha ndipo mtajua ni kwaninu huwa anapenda sana ' kujikombakomba ' kwa Manji.

Carlos Ze Don ameacha historia ya aibu sana Visiwani Zanzibar hasa kipindi kile cha mashindano ya Kombe la Mapinduzi ambapo alichofanyiwa na Wazanzibari kilimfanya hadi ' azimie ' kabisa na akawahishwa jijini Dar es Salaam kwa matibabu ' maalum ' na nakumbuka alikaa karibia miezi miwili hatoki ndani na anakwepa Watu.

Ukitaka kujua kama Manji amerudi Yanga au hapana mtafuteni jibu ambalo Nahodha wa ' kulazimisha ' wa Yanga SC Nadir Haroub ' Cannavaro ' kisha awaambieni jibu ambalo Manji alimpa siku ile Kesi yake ikifikia kikomo pale Kisutu ila ninachojua ni kwamba Manji alimwambia Cannavaro kwamba kwa sasa anaomba wamuache kwani ' amechanganyikiwa, amerudishwa nyuma na anataka kujipanga upya kiuchumi ' ila akawaelekeza waende kwa ' Tajiri ' mmoja mwenye Ofisi zake jirani na Benki ya Kizalendo pale Posta ili awasaidie kwa sasa. Na Manji hakumuacha hivi hivi Cannavaro ambapo alimuuliza Swali ambalo lilimfanya Cannavaro ainame chini kwa aibu na kushindwa kulijibu ambapo alimuuliza kwamba inakuwaje wakati wote wa Kesi alikuwa hawaoni pale Kisutu kumuunga mkono ila sasa ameshinda Kesi ndiyo wanajifanya kumkumbuka na kuwa karibu nae?

Wana Yanga mtawadanganya wasio na akili humu ila kwa Sisi Wajanja wa mjini / Watoto wa mjini na tunaojua michezo yote ya hatari na Siasa zetu hizi za Simba na Yanga wala hamuwezi kutupata. Manji wala hana haja tena na Yanga SC na hafikirii tena kuwasaidieni ila semeni tu ukweli kwamba kuna Waziri wenu mmoja wa Wizara ' Nyeti ' ambaye anawapenda Yanga kuliko hata wale Watu ' wasiojulikana ' ndiyo amewashawawishi Marafiki zake kadhaa ' matajiri ' wenye mahaba na Yanga ndipo ' wamejichanga ' jana mchana na leo Timu ikaondoka na Ndege kwenda ' Kufungwa ' huko Kagera na Shinyanga.

Endeleeni kuwadanganya ' wajinga wajinga ' ila Manji ameshajivua rasmi Yanga SC.

Nimemaliza.
Popoma
 
Hakuna kitu kama hicho wala ukweli wowote hapo ila kinachofanyika sasa ni Yanga ' kujipendekeza ' kwa Manji ili ' kumshawishi ' arejee Yanga na anayefanya / anayeratibu huu ' upuuzi ' wote ni Katibu Mkuu wa Yanga Mkwasa na Mtangazaji wa ' hovyo hovyo ' wa Efm na mwana Yanga ' lia lia ' kabisa Maulid Kitenge.

Kadri uzi huu utakavyokuwa unaendelea mbele nitakuja kuelezea ' kiundani ' kabisa tabia za huyo Kijana Kushoto Kwako pichani ambaye ni ' Komandoo ' wa Yanga SC aitwae Carlos Ze Don kisha ndipo mtajua ni kwaninu huwa anapenda sana ' kujikombakomba ' kwa Manji.

Carlos Ze Don ameacha historia ya aibu sana Visiwani Zanzibar hasa kipindi kile cha mashindano ya Kombe la Mapinduzi ambapo alichofanyiwa na Wazanzibari kilimfanya hadi ' azimie ' kabisa na akawahishwa jijini Dar es Salaam kwa matibabu ' maalum ' na nakumbuka alikaa karibia miezi miwili hatoki ndani na anakwepa Watu.

Ukitaka kujua kama Manji amerudi Yanga au hapana mtafuteni jibu ambalo Nahodha wa ' kulazimisha ' wa Yanga SC Nadir Haroub ' Cannavaro ' kisha awaambieni jibu ambalo Manji alimpa siku ile Kesi yake ikifikia kikomo pale Kisutu ila ninachojua ni kwamba Manji alimwambia Cannavaro kwamba kwa sasa anaomba wamuache kwani ' amechanganyikiwa, amerudishwa nyuma na anataka kujipanga upya kiuchumi ' ila akawaelekeza waende kwa ' Tajiri ' mmoja mwenye Ofisi zake jirani na Benki ya Kizalendo pale Posta ili awasaidie kwa sasa. Na Manji hakumuacha hivi hivi Cannavaro ambapo alimuuliza Swali ambalo lilimfanya Cannavaro ainame chini kwa aibu na kushindwa kulijibu ambapo alimuuliza kwamba inakuwaje wakati wote wa Kesi alikuwa hawaoni pale Kisutu kumuunga mkono ila sasa ameshinda Kesi ndiyo wanajifanya kumkumbuka na kuwa karibu nae?

Wana Yanga mtawadanganya wasio na akili humu ila kwa Sisi Wajanja wa mjini / Watoto wa mjini na tunaojua michezo yote ya hatari na Siasa zetu hizi za Simba na Yanga wala hamuwezi kutupata. Manji wala hana haja tena na Yanga SC na hafikirii tena kuwasaidieni ila semeni tu ukweli kwamba kuna Waziri wenu mmoja wa Wizara ' Nyeti ' ambaye anawapenda Yanga kuliko hata wale Watu ' wasiojulikana ' ndiyo amewashawawishi Marafiki zake kadhaa ' matajiri ' wenye mahaba na Yanga ndipo ' wamejichanga ' jana mchana na leo Timu ikaondoka na Ndege kwenda ' Kufungwa ' huko Kagera na Shinyanga.

Endeleeni kuwadanganya ' wajinga wajinga ' ila Manji ameshajivua rasmi Yanga SC.

Nimemaliza.

We kweli shabiki wa simba.huko uliko nahisi hata haja kubwa imekutokaaaa...neno manji tu ndo uandike maandishi ya hasira namna hii!!!sio bure wewe lazima utakuwa umemeza wembe aina ya lion.ili usiliogope hili neno manji,mpe mwanao jina hili la manji au kama we n tasa ama mgumba,kipe kitu chochote ulichokuwa nacho karibu hilo jina ili iwe rahisi kwako kulizoea.
 
Hayo ndio majibu ya kumjibu mwenye roho mbaya
 
Na ndiyo maana ' matahaira ' wengi wanaopatikana nchini Tanzania wana Mapenzi / Ushabiki na Yanga SC. Simba SC kumejaa ' Majiniasi ' tupu na ndiyo maana unaona sasa tunaenda vizuri na karibia tu na Sisi tutakuwa kama TP Mazembe au Liverpool FC au FC Barcelona au AC Milan au PSG au Kaizer Chiefs au Asante Kotoko au Canon Sports au Enyimba FC au Zamaleck FC ' Kimaendeleo ' na kuwaacheni nyie mkijikombakomba kwa ' Panjuani ' Manji.
Umefilisika kifkra. Pole Sana mkuu
 
Mbona walipita jana na basi lao dodoma jioni...hio ndege labda wanapanda viongozi
Basi linaenda kwa ajiri ya kuwabeba Airport na kuwapeleka Hoteri na Uwanjani
 
Natamani wote tungekuwa na moyo kama wa manji, mimi Ningekuwa kama manji ningehama nchi kabisa
 
Back
Top Bottom