Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zile ekari zetu 10 za kule Bunju zipo kwenye mchakato wa kujenga kiwanja cha kufanyia mazoezi timu yetu ya Simba SC.Hivi mikia kule bunju kuliishaje
Mwenyekiti Manji alitenga bilioni 52 kuwahamisha wakazi wa mtaa wa Twiga sio kule bondeni serikali ikanuna maana bila ya Yanga uwanja wao wa Taifa ungekuwa makumbusho... Sasa tunaenda kigamboni 2018 tutacheza mechi moja tu Taifa na simba ya ugeniniHahaha! Jangwani city basi tena!anyway kama ni kweli sasa tunaanza kuona hatua za dhati na dhabiti kuikwamua Yanga,Lakini Ile habari ya jangwani city ilikuwa changa la macho ..!mabasi ya mwendo kasi yakae wapi?
Manji hawezi kuwapa doc,fiksi tu hizo..Amewapa na documents ie title deeds? Wamesaini mkataba wa kuhamisha umuliki? Au wameoneshwa mipaka tu wakaambiwa kuanzia leo ni mali yenu?