Hata akishinda lakini adabu atakuwa ameipata! Alikuwa ana dharau sana huyu mhindi[/QUOTE
Kwa hiyo lengo ni kushikisha adabu, na wewe unaamini kabisa kutoka rohoni mwako Serikali inapaswa kufanya mambo ya namna hii? Tukiwaita Lunatics mnalalamika. Lakini ukweli ndio huo, jina huwa linatokana na matendo ya watu.