Tetesi: Manji amesha punch case ya madawa ya kulevya tayari?

acheni kuota ndoto. ukiona serikali imefungua kesi mahakamani na imeng'ang'ania kitu, ujue walishajiridhisha kabla hata hawajafungua. subiri uone.
Mkuu unaweza Leo kujitokeza ututhibitishie madai haya?
 
...[HASHTAG]#hute[/HASHTAG] una lingine

Ova
 
Kama mtihani wa form 4 tu wenyewe ulifeli, utapataje akili ya kuwakamata wauza madawa ya kulevya???
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…