Manji amuokoa Komba, anunua shule zake

Komba ameshindwa kuendesha bendi akadhani anaweza kuendesha shule ya kiingereza ? Alifikiri academy inaendeshwa kama hizi alizo zoea za halmashauri. Komba. kuendesha shule kunahitaji akili na kujipanga sio kusinzia kama unavyosinzia bungeni. You can not lead while sleeping.
 
...hilo jamaa si ndo lilimsingizia kamanda mbowe amekopa nssf na anatafutwa wakati sio kweli,kumbe lenyewe ndo linadaiwa namna hii ! kweli hicho ni chama cha majambazi...
 
huyu alitaka kwenda msitu wa mavoooz kule kinondoni
 
Coletha Memorial na Bakili Muluzi ziko Mbweni alizijenga kama banda za nguruwe. Huwezi zifahamu maana performance ziro. Mal ya haramu haidumu. Alizijenga baada ya kwenda kumpigia kampeni Bakili Muluzi na ule mgari wa TOT.
 
hizo shule zinaitwaje?

Coletha Memorial na Bakili Muluzi. Huwezi zisikia maana performance ziro. Alizijenga kama mabanda ya nguruwe kule mbweni mpiji. Kitu cha dhuluma hakiendelei maana alizipata hela haranu wakati alipoenda kumpigia debe la uraisi Bakili Muluzi na ule mgari wa TOT.
 
Mkuu umeua kabisa,,,Eti kama mabanda ya nguruwe..hawa watu wa CCM ni ujanjaujanja tu,hapo ukute ni mipango tu,wamepeana ma milioni tu na CRDB anajifanya kashindwa kurejesha.
 
Mkuu umeua kabisa,,,Eti kama mabanda ya nguruwe..hawa watu wa CCM ni ujanjaujanja tu,hapo ukute ni mipango tu,wamepeana ma milioni tu na CRDB anajifanya kashindwa kurejesha.

Mkuu huyu tumbotumbo hatari kabisa. Ile hela ya Rais maarufu kama JK Fund basi mkewe Tumbotumbo akaaanzisha kikundi hewa akapeleka CRDB. Kuja kufuatilia baada ya kutofanya repayment duu wanachama wote na simu zao hewa. Sijui issue iliishia wapi. Familia ya tumbotumbo tapeli wote kama walivyo wenzake wa chama. Aisee watanzania tumieni demokrasia vizuri 2015.
 
Mkuu inaonyesha hata ww sio mdau wa sheria au km ni mdau basi mzembe coz umeshindwa kufahamu kuwa kesi ya madai inamfunga mtu...NOTE. Kesi ya madai mdaiwa anafungwa na mdai anatakiwa kumlipia mdaiwa gharama za matumizi pindi atakapokua jela...

Reference: Kesi ya Mtikila aliposhindwa kulipa deni, na jamaa akaamua kumfunga. alipoona anaenda kweli jela...........Mchungaji akatinga Mahakamani n mabulungutu kulipa deni !
 
Jamani kama mtu hujui sheria ni vizuri ukaepuka ku-comment kisheria. Tangu lini kesi ya madai ikampeleka mtu jela.

We ndio utakua uijui sheria, na kama ndio umemaliza shahada yako ya kwanza nukushauri uanze upya kama bado basi jitahidi kusoma kwa bidii na kuepuka "madesa"
 
Sihitaji kupanic kwa mtu asiyenihusu. Tatizo langu ni upotoshaji wa kisheria, taaluma ambayo mimi mdau.

Na hilo neno "mdau" liondoe ikiwezekana. Do you know anything abt "civil prison"? If yes state abt it, and if not....
 
Mwenyewe hiyo sheria hujui, kesi ya madai mtu anaenda jela kama kawa, anaenda as civil prisoner ingawaje utaratibu ni tofauti kidogo na kesi za jinai rejea civil procedure Act

Tusimlaumu sana ndio ameanza. Ila akiendelea kwa speed hii, aangalie hasije kuuishia kua ka wale ndugu zetu ze "bUsh lawyer"
 

Sio muda wa kumtoa "umbulula" wake kwasasa. Kama alikua anahudhuria darasa tu kukalia viti itafahamika. Turudi kwenye mada.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…