stata mzuka
JF-Expert Member
- Nov 25, 2012
- 4,834
- 1,759
Manji kamuokoa mzinzi huyo
Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app
Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu nimecheka sana, eti mzee wa msituni hawezi kufungwa, ashukuru manji tu manake ccm wenzake walishamtosa.
sasa na hii imekujaje? au ni kumchachafya tu mzee wetu?Kuna habari iliwahi kuletwa hapa na Mh. Ngongo kuwa TACAIDS ndio wamemuokoa Komba.
Jamani kama mtu hujui sheria ni vizuri ukaepuka ku-comment kisheria. Tangu lini kesi ya madai ikampeleka mtu jela.
Sakata la mali za John Komba kupigwa mnada kufuatia deni la Tsh bilion 1.2 analodaiwa na benki ya CRDB limefikia tamati baada ya mfanyabiashara nguli na Mwenyekiti wa klabu ya Yanga, Bw Yusuf Manji, kununua shule na baadhi ya mali zake zote ambazo zilikuwa zipigwe mnada ili kufidia deni.
Komba alikuwa anakabiliwa na uwezekano wa shule zake kupigwa mnada (na kufungwa jela) ili kufidia deni hilo alilokopa CRDB miaka 5 iliyopita.
Source: Mwananchi.
MAONI YANGU
Komba amshukuru sana Manji kwa kumuokoa kwenda jela na kupigwa mnada kwa mali zake. Sipati picha kama Komba angefungwa jela kile kitambi chake angekificha wapi. Lazima kingenywea kama puto lililotoboka. Hivi alidhani kuendesha shule ni sawa na kuimba kwaya na kusimamia bendi? Chezea mkopo wewe!
ni sheria gani inayoruhusu mdaiwa kufungwa?
hizo shule zinaitwaje?
Jamani kama mtu hujui sheria ni vizuri ukaepuka ku-comment kisheria. Tangu lini kesi ya madai ikampeleka mtu jela.
hizo shule zinaitwaje?
Hiyo shule inaitwa Bakili Muluzi?