balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
Sheria ipi inatomsumbua halafu anashinda kesi au DPP anatoka nduki?sheria inamsumbua hakuna mtu anayemsumbua
Anataka kurudisha reputation yake...
Mimi sioni shida kujitangaza,sema watanzania wengi roho zao za kichawi chawi na hawachelewi kumzushia kitu
sheria ambayo mahakama inamuachia huru inamsumbuaje Magufuli he has to learn a lessonsheria inamsumbua hakuna mtu anayemsumbua
Mbona India imeipa Tanzania trillion moja kusambaza maji mikoani au hiyo India yako ni ipi?Ha ha Manji kiboko cha Magufuli pamoja na kumuweka ndani ili amvuruge kisaikolijia,kumvunjia hesima anamzaba za uso the guy he has money kumuweka Manji ndani wahindi wamekataa kununua mbaazi wakulima wetu tabu wamezipata wanalia na bei Magu anamfurahisha bashite in the expence of our Wakulima kweli
Usijekudhani wote huku jf ni tanapa wenzakoWewe unalipa kodi sh ngapi? Achani ushabiki
kwani uliambiwa kazi ya mahakama ni kufunga tu?sheria ambayo mahakama inamuachia huru inamsumbuaje Magufuli he has to learn a lesson
Tabia haina sawa.Manji jeuri, amefungiwa ofisi za Quality Center sasa leo kaitisha press anasema anainunua Nakumart Supermarket.
Taarifa Zaidi Kufuata
Mikesi yote ujinga mtupu,Sio kufungiwa office alipe billion 20 za kodi huyo MKWEPA KODI, kama halipi hata hizo Nakumatt tutazifunga
Kasome nolle prosequi ni nini kisha uje ubwabwajeSheria ipi inatomsumbua halafu anashinda kesi au DPP anatoka nduki?
Anaanzisha nyingine....na vipi kuhusu timu ya Yanga, je?
hawafungi hasa kwa kesi za kubambika kama za bashite na baba yake unaona aibu mbona unaumia sana bashite rudisha range rover lake umejimilikisha na kuweka namba zako za ukuu mzee vipi wewe lakini leo mbona hukalii kitikwani uliambiwa kazi ya mahakama ni kufunga tu?
Ni heri huko songea,tunduru 100 /=Mh manji njoo huku mtwara ununue mbaazi sie wakulima tunateseka na bei ya tsh 150/= kwa kilo
wakulima mbaazi zao wamekataa kununuwa wahindi na hizo trillioni moja hazipo mkuu tunaangilia kwa nchi zinazonufaika ni misaada ya India Tanzania haionekani mzee halafu si mulisema hii ni donor country hata wahindi nao munataka wawape vya bureMbona India imeipa Tanzania trillion moja kusambaza maji mikoani au hiyo India yako ni ipi?
Atnunuwaje kitu ambacho kimefilisikaManji jeuri, amefungiwa ofisi za Quality Center sasa leo kaitisha press anasema anainunua Nakumart Supermarket.
Taarifa Zaidi Kufuata