bukoba boy
JF-Expert Member
- Jan 15, 2015
- 5,370
- 3,962
wewe ni mbumbumbu..sasa wewe box gani umelifikiria hapo
Njoo nje ya box tutaelewana humo ndani mmebanwa hata kuwaza mmebinafsisha nasikia wawekezaji wanawaza kwaajili yenuwewe ni mbumbumbu..sasa wewe box gani umelifikiria hapo
Hata Rostam Aziz walimuhitaji sana lakini aliishia zake......Kwani si bado ni Diwani??
Vipi wapiga kura hawamhitaji?
Sasa mnaacha kutumia wasomi wanajeshi wataweza kweliHao ni kufungwa tu,huoni tumeleta brigadier general hapo PCCB ahusike kwenye investigation and prosecution
Sent from my iPhone 8 using JamiiForums mobile app
Mwanajeshi ambaye ana levo za brigadier general si mtu mdogo kwa usiku FYI
Wasomi WA kijeshi ninashaka naoMwanajeshi ambaye ana levo za brigadier general si mtu mdogo kwa usiku FYI
Sent from my iPhone 8 using JamiiForums mobile app
Kwmba ni kazi yake kutengeneza barabara na hayo magari mabovu ulitaka yy afanye biashara kwa kuleta magari mapya iyo ndo kazi yake kutoa magari chakavu barabarani utajiri na jina ni vyake so usiviusishe na cheo alichonacho labda umwombe ajitolee kufanya ivo maana ni kazi ya serikali kuu na local government au civics na gs huku soma kbsaKatika madiwani wa ajabu kuwai kutokea n uyu, yaani huwez kuamini na jina lote alilonalo ameshindwa ata kutengeneza barabara ambayo at km mbl haizid badala yake wananchi wa mbagala kuu wanapandaga magari ya ajabu ya tetenasi, nachoweza kusema huyu jamaa kuna kitu alkua anatafuta kama s umeya ili aje akamate viwanja na mali za jiji sjui maana s kwa uungozi huu,..
Quality group na Kampuni yake ya mawasiliano navyo ni vyako siyo biashara zile?hebu muachage ujinga...manji ameshitakiwa kama manji..sio biashara yake
Halafu Jurisdiction ya kesi ni ndani ya nchi na sio nje
sometimes msiwe wajinga kiasi hiki
Unamwombea msamaha kwa rais kumbe kamkosea rais?Nyinyi watu wabaya sana ! tokea jana mra MAnji kapanch mara kuwa billionaire ili iwe nini? MNATAKA MAGUFULI ASIMTOE? Mwenye ez Mungu amswameh MAnji pale alipokosea na naamini ALLAh anampenda sana kumpa mtihani huu ili kama ana akili ATUBU toba iliyo ya ukweli kwa ufedhuli wote aloufanya ! na Namuombea radhi na msamaha kwa Rais maswameh na amilipishe yale yote anayodaiwa! na wengine wote walofungwa kwa makosa ya kudaiwa na serikali walipe madeni yao watolewe! JELA KUBAYA JAMANI!
Hebu nifafanulie mwanasheria msomi.. baada ya kushinda kesi za humu atafunguaje mashataka ya kuishtaki serikali katika mahakama za kimataifa? Kwa sheria ipi?Kichwa hapo juu kinahusika.
kuna uwezekano Mkubwa Sana Wa Manji kuibuka na fedha nyingi Sana baada y'a kuibuka mshindi ktk lundo la Kesi zisizo na mashiko alizolundikiwa na serikali hii ya Magufuli.
Kwa mujibu Wa habari Za kiintelejinsia baada ya kushinda Kesi hizo, Manji kupitia kampuni yake na ya familia iliyopo Hapa nchini na ambayo IPO kimataifa itafungua Kesi dhidi ya serikali kwenye mahakama ya kibiashara ya dunia kudai fidia ya mabilioni ya dollar.
Kama kawaida Tanzania huko hatuna letu tayari tumeshindwa hata Kabla ya kesi kufunguliwa.
Matokeo yake Nchi itaamuriwa kumlipa fidia Bwana Yusufu Manji.
Kama mnavyoijua serikali yetu itakaidi Amri hiyo, na hapo sasa mchezo ndipo utakapokuwa mtamu, Manji ataomba mahakama impe kibali cha kukamata Mali yeyote ya Tanzania Mahali popote zilipo duniani kote.
Wakati yote hayo yakiendelea Manji name familiar yake watakuwa amehamia Canada.
Naandika haya Kama mzalendo ili taadhari zichukuliwe mapema
Najaribu kufuatilia mkakati alionao Seth na Rugamarila nitawajuza nikiwa tayari
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe unahatarisha maisha ya Bwn Yusufu Manji.Kichwa hapo juu kinahusika.
kuna uwezekano Mkubwa Sana Wa Manji kuibuka na fedha nyingi Sana baada y'a kuibuka mshindi ktk lundo la Kesi zisizo na mashiko alizolundikiwa na serikali hii ya Magufuli.
Kwa mujibu Wa habari Za kiintelejinsia baada ya kushinda Kesi hizo, Manji kupitia kampuni yake na ya familia iliyopo Hapa nchini na ambayo IPO kimataifa itafungua Kesi dhidi ya serikali kwenye mahakama ya kibiashara ya dunia kudai fidia ya mabilioni ya dollar.
Kama kawaida Tanzania huko hatuna letu tayari tumeshindwa hata Kabla ya kesi kufunguliwa.
Matokeo yake Nchi itaamuriwa kumlipa fidia Bwana Yusufu Manji.
Kama mnavyoijua serikali yetu itakaidi Amri hiyo, na hapo sasa mchezo ndipo utakapokuwa mtamu, Manji ataomba mahakama impe kibali cha kukamata Mali yeyote ya Tanzania Mahali popote zilipo duniani kote.
Wakati yote hayo yakiendelea Manji name familiar yake watakuwa amehamia Canada.
Naandika haya Kama mzalendo ili taadhari zichukuliwe mapema
Najaribu kufuatilia mkakati alionao Seth na Rugamarila nitawajuza nikiwa tayari
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani quality group inakula ngada?Quality group na Kampuni yake ya mawasiliano navyo ni vyako siyo biashara zile?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ule mtandao wa simu ndo unakula ngada na kwn kosa la manji ni kula ngada?duuuh my foot chidi benz yupo mahabusu gani nkamtembelee na akitoka hapo manji ndo atapelekwa kule wanapolelewa wala ngada eeeh?sheria zishabadilika kumbeKwani quality group inakula ngada?
Sasa tahadhari ipi ichukuliwe?mimi naona achukue tu majengo ya bunge mahakama na ikulu afanye mahoteli na migahawaKichwa hapo juu kinahusika.
kuna uwezekano Mkubwa Sana Wa Manji kuibuka na fedha nyingi Sana baada y'a kuibuka mshindi ktk lundo la Kesi zisizo na mashiko alizolundikiwa na serikali hii ya Magufuli.
Kwa mujibu Wa habari Za kiintelejinsia baada ya kushinda Kesi hizo, Manji kupitia kampuni yake na ya familia iliyopo Hapa nchini na ambayo IPO kimataifa itafungua Kesi dhidi ya serikali kwenye mahakama ya kibiashara ya dunia kudai fidia ya mabilioni ya dollar.
Kama kawaida Tanzania huko hatuna letu tayari tumeshindwa hata Kabla ya kesi kufunguliwa.
Matokeo yake Nchi itaamuriwa kumlipa fidia Bwana Yusufu Manji.
Kama mnavyoijua serikali yetu itakaidi Amri hiyo, na hapo sasa mchezo ndipo utakapokuwa mtamu, Manji ataomba mahakama impe kibali cha kukamata Mali yeyote ya Tanzania Mahali popote zilipo duniani kote.
Wakati yote hayo yakiendelea Manji name familiar yake watakuwa amehamia Canada.
Naandika haya Kama mzalendo ili taadhari zichukuliwe mapema
Najaribu kufuatilia mkakati alionao Seth na Rugamarila nitawajuza nikiwa tayari
Sent using Jamii Forums mobile app