Tetesi: Manji kuwa bilionea

Tetesi: Manji kuwa bilionea

Hao ni kufungwa tu,huoni tumeleta brigadier general hapo PCCB ahusike kwenye investigation and prosecution

Sent from my iPhone 8 using JamiiForums mobile app
 
Nyie hamjui kuwa mnaharibia manji,kwa sifa mnazompa jamaa anaweza kuamuru manji afungwe maisha,
sasa sijui mtakuwa mmemusaidia nini?.

Badala ya kumnasihi bashite amsamehe tu,yale mambo ya presscon ilikuwa ni mbwembwe tu,hakuwa na maana mbaya kumvunjia heshima,na kuwa yule chinga hakutumwa kuifuta vumbi ile BMW mbele ya station polisi,bali ni utashi wake tu kuamua kufuta vumbi gari kwa bendele ya ccm.
 
Huko kimataifa hawapimi mkojo?
Eti lazima mkojo uwe safi ndiyo ulipwe. Teh teh teh
 
Katika madiwani wa ajabu kuwai kutokea n uyu, yaani huwez kuamini na jina lote alilonalo ameshindwa ata kutengeneza barabara ambayo at km mbl haizid badala yake wananchi wa mbagala kuu wanapandaga magari ya ajabu ya tetenasi, nachoweza kusema huyu jamaa kuna kitu alkua anatafuta kama s umeya ili aje akamate viwanja na mali za jiji sjui maana s kwa uungozi huu,..
Kwmba ni kazi yake kutengeneza barabara na hayo magari mabovu ulitaka yy afanye biashara kwa kuleta magari mapya iyo ndo kazi yake kutoa magari chakavu barabarani utajiri na jina ni vyake so usiviusishe na cheo alichonacho labda umwombe ajitolee kufanya ivo maana ni kazi ya serikali kuu na local government au civics na gs huku soma kbsa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyinyi watu wabaya sana ! tokea jana mra MAnji kapanch mara kuwa billionaire ili iwe nini? MNATAKA MAGUFULI ASIMTOE? Mwenye ez Mungu amswameh MAnji pale alipokosea na naamini ALLAh anampenda sana kumpa mtihani huu ili kama ana akili ATUBU toba iliyo ya ukweli kwa ufedhuli wote aloufanya ! na Namuombea radhi na msamaha kwa Rais maswameh na amilipishe yale yote anayodaiwa! na wengine wote walofungwa kwa makosa ya kudaiwa na serikali walipe madeni yao watolewe! JELA KUBAYA JAMANI!
Unamwombea msamaha kwa rais kumbe kamkosea rais?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kichwa hapo juu kinahusika.
kuna uwezekano Mkubwa Sana Wa Manji kuibuka na fedha nyingi Sana baada y'a kuibuka mshindi ktk lundo la Kesi zisizo na mashiko alizolundikiwa na serikali hii ya Magufuli.

Kwa mujibu Wa habari Za kiintelejinsia baada ya kushinda Kesi hizo, Manji kupitia kampuni yake na ya familia iliyopo Hapa nchini na ambayo IPO kimataifa itafungua Kesi dhidi ya serikali kwenye mahakama ya kibiashara ya dunia kudai fidia ya mabilioni ya dollar.

Kama kawaida Tanzania huko hatuna letu tayari tumeshindwa hata Kabla ya kesi kufunguliwa.

Matokeo yake Nchi itaamuriwa kumlipa fidia Bwana Yusufu Manji.

Kama mnavyoijua serikali yetu itakaidi Amri hiyo, na hapo sasa mchezo ndipo utakapokuwa mtamu, Manji ataomba mahakama impe kibali cha kukamata Mali yeyote ya Tanzania Mahali popote zilipo duniani kote.

Wakati yote hayo yakiendelea Manji name familiar yake watakuwa amehamia Canada.

Naandika haya Kama mzalendo ili taadhari zichukuliwe mapema

Najaribu kufuatilia mkakati alionao Seth na Rugamarila nitawajuza nikiwa tayari


Sent using Jamii Forums mobile app
Hebu nifafanulie mwanasheria msomi.. baada ya kushinda kesi za humu atafunguaje mashataka ya kuishtaki serikali katika mahakama za kimataifa? Kwa sheria ipi?

sent live and direct from KOROMIJE
 
Kichwa hapo juu kinahusika.
kuna uwezekano Mkubwa Sana Wa Manji kuibuka na fedha nyingi Sana baada y'a kuibuka mshindi ktk lundo la Kesi zisizo na mashiko alizolundikiwa na serikali hii ya Magufuli.

Kwa mujibu Wa habari Za kiintelejinsia baada ya kushinda Kesi hizo, Manji kupitia kampuni yake na ya familia iliyopo Hapa nchini na ambayo IPO kimataifa itafungua Kesi dhidi ya serikali kwenye mahakama ya kibiashara ya dunia kudai fidia ya mabilioni ya dollar.

Kama kawaida Tanzania huko hatuna letu tayari tumeshindwa hata Kabla ya kesi kufunguliwa.

Matokeo yake Nchi itaamuriwa kumlipa fidia Bwana Yusufu Manji.

Kama mnavyoijua serikali yetu itakaidi Amri hiyo, na hapo sasa mchezo ndipo utakapokuwa mtamu, Manji ataomba mahakama impe kibali cha kukamata Mali yeyote ya Tanzania Mahali popote zilipo duniani kote.

Wakati yote hayo yakiendelea Manji name familiar yake watakuwa amehamia Canada.

Naandika haya Kama mzalendo ili taadhari zichukuliwe mapema

Najaribu kufuatilia mkakati alionao Seth na Rugamarila nitawajuza nikiwa tayari


Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe unahatarisha maisha ya Bwn Yusufu Manji.
Jamaa bado yuko ndani!!
 
Kichwa hapo juu kinahusika.
kuna uwezekano Mkubwa Sana Wa Manji kuibuka na fedha nyingi Sana baada y'a kuibuka mshindi ktk lundo la Kesi zisizo na mashiko alizolundikiwa na serikali hii ya Magufuli.

Kwa mujibu Wa habari Za kiintelejinsia baada ya kushinda Kesi hizo, Manji kupitia kampuni yake na ya familia iliyopo Hapa nchini na ambayo IPO kimataifa itafungua Kesi dhidi ya serikali kwenye mahakama ya kibiashara ya dunia kudai fidia ya mabilioni ya dollar.

Kama kawaida Tanzania huko hatuna letu tayari tumeshindwa hata Kabla ya kesi kufunguliwa.

Matokeo yake Nchi itaamuriwa kumlipa fidia Bwana Yusufu Manji.

Kama mnavyoijua serikali yetu itakaidi Amri hiyo, na hapo sasa mchezo ndipo utakapokuwa mtamu, Manji ataomba mahakama impe kibali cha kukamata Mali yeyote ya Tanzania Mahali popote zilipo duniani kote.

Wakati yote hayo yakiendelea Manji name familiar yake watakuwa amehamia Canada.

Naandika haya Kama mzalendo ili taadhari zichukuliwe mapema

Najaribu kufuatilia mkakati alionao Seth na Rugamarila nitawajuza nikiwa tayari


Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa tahadhari ipi ichukuliwe?mimi naona achukue tu majengo ya bunge mahakama na ikulu afanye mahoteli na migahawa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom