Tetesi: Manji kuwa bilionea

Tetesi: Manji kuwa bilionea

Kichwa hapo juu kinahusika.
kuna uwezekano Mkubwa Sana Wa Manji kuibuka na fedha nyingi Sana baada y'a kuibuka mshindi ktk lundo la Kesi zisizo na mashiko alizolundikiwa na serikali hii ya Magufuli.

Kwa mujibu Wa habari Za kiintelejinsia baada ya kushinda Kesi hizo, Manji kupitia kampuni yake na ya familia iliyopo Hapa nchini na ambayo IPO kimataifa itafungua Kesi dhidi ya serikali kwenye mahakama ya kibiashara ya dunia kudai fidia ya mabilioni ya dollar.

Kama kawaida Tanzania huko hatuna letu tayari tumeshindwa hata Kabla ya kesi kufunguliwa.

Matokeo yake Nchi itaamuriwa kumlipa fidia Bwana Yusufu Manji.

Kama mnavyoijua serikali yetu itakaidi Amri hiyo, na hapo sasa mchezo ndipo utakapokuwa mtamu, Manji ataomba mahakama impe kibali cha kukamata Mali yeyote ya Tanzania Mahali popote zilipo duniani kote.

Wakati yote hayo yakiendelea Manji name familiar yake watakuwa amehamia Canada.

Naandika haya Kama mzalendo ili taadhari zichukuliwe mapema

Najaribu kufuatilia mkakati alionao Seth na Rugamarila nitawajuza nikiwa tayari


Sent using Jamii Forums mobile app
Dogo usiyoyajua uliza.
 
Kichwa hapo juu kinahusika.
kuna uwezekano Mkubwa Sana Wa Manji kuibuka na fedha nyingi Sana baada y'a kuibuka mshindi ktk lundo la Kesi zisizo na mashiko alizolundikiwa na serikali hii ya Magufuli.

Kwa mujibu Wa habari Za kiintelejinsia baada ya kushinda Kesi hizo, Manji kupitia kampuni yake na ya familia iliyopo Hapa nchini na ambayo IPO kimataifa itafungua Kesi dhidi ya serikali kwenye mahakama ya kibiashara ya dunia kudai fidia ya mabilioni ya dollar.

Kama kawaida Tanzania huko hatuna letu tayari tumeshindwa hata Kabla ya kesi kufunguliwa.

Matokeo yake Nchi itaamuriwa kumlipa fidia Bwana Yusufu Manji.

Kama mnavyoijua serikali yetu itakaidi Amri hiyo, na hapo sasa mchezo ndipo utakapokuwa mtamu, Manji ataomba mahakama impe kibali cha kukamata Mali yeyote ya Tanzania Mahali popote zilipo duniani kote.

Wakati yote hayo yakiendelea Manji name familiar yake watakuwa amehamia Canada.

Naandika haya Kama mzalendo ili taadhari zichukuliwe mapema

Najaribu kufuatilia mkakati alionao Seth na Rugamarila nitawajuza nikiwa tayari


Sent using Jamii Forums mobile app
Hata kama sio billions, basi kuombwa radhi kupitia mamlaka na vyombo husika!
 
Kichwa hapo juu kinahusika.
kuna uwezekano Mkubwa Sana Wa Manji kuibuka na fedha nyingi Sana baada y'a kuibuka mshindi ktk lundo la Kesi zisizo na mashiko alizolundikiwa na serikali hii ya Magufuli.

Kwa mujibu Wa habari Za kiintelejinsia baada ya kushinda Kesi hizo, Manji kupitia kampuni yake na ya familia iliyopo Hapa nchini na ambayo IPO kimataifa itafungua Kesi dhidi ya serikali kwenye mahakama ya kibiashara ya dunia kudai fidia ya mabilioni ya dollar.

Kama kawaida Tanzania huko hatuna letu tayari tumeshindwa hata Kabla ya kesi kufunguliwa.

Matokeo yake Nchi itaamuriwa kumlipa fidia Bwana Yusufu Manji.

Kama mnavyoijua serikali yetu itakaidi Amri hiyo, na hapo sasa mchezo ndipo utakapokuwa mtamu, Manji ataomba mahakama impe kibali cha kukamata Mali yeyote ya Tanzania Mahali popote zilipo duniani kote.

Wakati yote hayo yakiendelea Manji name familiar yake watakuwa amehamia Canada.

Naandika haya Kama mzalendo ili taadhari zichukuliwe mapema

Najaribu kufuatilia mkakati alionao Seth na Rugamarila nitawajuza nikiwa tayari


Sent using Jamii Forums mobile app

Kwani jamaa ni millionea ? Manji ni billionea tena mda mrefu tu .
 
Kichwa hapo juu kinahusika.
kuna uwezekano Mkubwa Sana Wa Manji kuibuka na fedha nyingi Sana baada y'a kuibuka mshindi ktk lundo la Kesi zisizo na mashiko alizolundikiwa na serikali hii ya Magufuli.

Kwa mujibu Wa habari Za kiintelejinsia baada ya kushinda Kesi hizo, Manji kupitia kampuni yake na ya familia iliyopo Hapa nchini na ambayo IPO kimataifa itafungua Kesi dhidi ya serikali kwenye mahakama ya kibiashara ya dunia kudai fidia ya mabilioni ya dollar.

Kama kawaida Tanzania huko hatuna letu tayari tumeshindwa hata Kabla ya kesi kufunguliwa.

Matokeo yake Nchi itaamuriwa kumlipa fidia Bwana Yusufu Manji.

Kama mnavyoijua serikali yetu itakaidi Amri hiyo, na hapo sasa mchezo ndipo utakapokuwa mtamu, Manji ataomba mahakama impe kibali cha kukamata Mali yeyote ya Tanzania Mahali popote zilipo duniani kote.

Wakati yote hayo yakiendelea Manji name familiar yake watakuwa amehamia Canada.

Naandika haya Kama mzalendo ili taadhari zichukuliwe mapema

Najaribu kufuatilia mkakati alionao Seth na Rugamarila nitawajuza nikiwa tayari


Sent using Jamii Forums mobile app
Bils kujali mengine uliyoandika hapa, Bwana Manji tayari ni Billionea
 
Kichwa hapo juu kinahusika.
kuna uwezekano Mkubwa Sana Wa Manji kuibuka na fedha nyingi Sana baada y'a kuibuka mshindi ktk lundo la Kesi zisizo na mashiko alizolundikiwa na serikali hii ya Magufuli.

Kwa mujibu Wa habari Za kiintelejinsia baada ya kushinda Kesi hizo, Manji kupitia kampuni yake na ya familia iliyopo Hapa nchini na ambayo IPO kimataifa itafungua Kesi dhidi ya serikali kwenye mahakama ya kibiashara ya dunia kudai fidia ya mabilioni ya dollar.

Kama kawaida Tanzania huko hatuna letu tayari tumeshindwa hata Kabla ya kesi kufunguliwa.

Matokeo yake Nchi itaamuriwa kumlipa fidia Bwana Yusufu Manji.

Kama mnavyoijua serikali yetu itakaidi Amri hiyo, na hapo sasa mchezo ndipo utakapokuwa mtamu, Manji ataomba mahakama impe kibali cha kukamata Mali yeyote ya Tanzania Mahali popote zilipo duniani kote.

Wakati yote hayo yakiendelea Manji name familiar yake watakuwa amehamia Canada.

Naandika haya Kama mzalendo ili taadhari zichukuliwe mapema

Najaribu kufuatilia mkakati alionao Seth na Rugamarila nitawajuza nikiwa tayari


Sent using Jamii Forums mobile app
akili zetu wakati mwingine ni za ajabu sana. sijui huwa mnawaza nini. akili kama zako ndizo zilizochagua viongozi 2015 mkatufanya tunapata shida hata hatujui tunakoelekea hadi leo. mtu unaamka tu haujui chochote, unapost tu chochote unachofikiria. itabidi kuwe na thread ya "wajinga'' humu jf ili mpeane thread za kusadikika kama hizi tu muda wote, na sisi wengine tubaki huku tukijadili vitu vyenye akili.
 
Duh! Lakini Baba Mkuu alisemaga kwamba TANZANIA ni nchi tajiri sana, hakuna shida, tutalipa tyu.
 
Duh, wee jamaa nachoweza sema ni kiboko! Uko dense sana. Umetumia siku kadhaa kuja na huu upupu??!!!
Laiti ungekua unajua mambo ya nchi yetu kamwe narudia kamwe usingethubutu kumuita mtoa utabiri ati kaleta upupu.
Kama hujui basi nakupa mfano ila ni juu yako kufuatilia taarifa kamili. Aliyotabiri huyu jamaa yalitokea kwa Bakhresa serikali ya awamu... iliposema ameinguza ngano isiyofaa so ikateketezwa then kukawa na kesi serikali ikashindwa ikaamuliwa imlipe. Fanya utafiti kisha uje hapa sio mnakurupuka na ushabiki tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kichwa hapo juu kinahusika.
kuna uwezekano Mkubwa Sana Wa Manji kuibuka na fedha nyingi Sana baada y'a kuibuka mshindi ktk lundo la Kesi zisizo na mashiko alizolundikiwa na serikali hii ya Magufuli.

Kwa mujibu Wa habari Za kiintelejinsia baada ya kushinda Kesi hizo, Manji kupitia kampuni yake na ya familia iliyopo Hapa nchini na ambayo IPO kimataifa itafungua Kesi dhidi ya serikali kwenye mahakama ya kibiashara ya dunia kudai fidia ya mabilioni ya dollar.

Kama kawaida Tanzania huko hatuna letu tayari tumeshindwa hata Kabla ya kesi kufunguliwa.

Matokeo yake Nchi itaamuriwa kumlipa fidia Bwana Yusufu Manji.

Kama mnavyoijua serikali yetu itakaidi Amri hiyo, na hapo sasa mchezo ndipo utakapokuwa mtamu, Manji ataomba mahakama impe kibali cha kukamata Mali yeyote ya Tanzania Mahali popote zilipo duniani kote.

Wakati yote hayo yakiendelea Manji name familiar yake watakuwa amehamia Canada.

Naandika haya Kama mzalendo ili taadhari zichukuliwe mapema

Najaribu kufuatilia mkakati alionao Seth na Rugamarila nitawajuza nikiwa tayari


Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe utafaidika nini
 
Hebu nifafanulie mwanasheria msomi.. baada ya kushinda kesi za humu atafunguaje mashataka ya kuishtaki serikali katika mahakama za kimataifa? Kwa sheria ipi?

sent live and direct from KOROMIJE
Familia ya Yusufu Manji ambayo Manji anasimamia biashara Zake alizorithi toka Kwa marehemu baba yake,wapo Canada na kampuni ya Quality group ni ya kimataifa hivyo msiichukulie poa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakati yote hayo yakiendelea Manji name familiar yake watakuwa amehamia Canada.

Naandika haya Kama mzalendo ili taadhari zichukuliwe mapema

Najaribu kufuatilia mkakati alionao Seth na Rugamarila nitawajuza nikiwa tayari

Mkuu;
Mbona una husda sana?? Hata weye, anzisha valangati lako ukashinde kirahisi mahakamani ka unaona ni rahisi. Ati, Natahadharisha, unamtahadharisha nani?? Maneno mengine yaani basi tu.
Hujiulizi, ule upweke alio nao Manji pale mahakamani kila siku. Peke yake, hakuna banyani yeyote anafika hana ndugu hata wa kufikia?? Poleni wenye nyodo zenu kwa wengine.
Am telling yu, siku si nyingi jamaa watamkuta kajifilia kwenye kirago chake. Simchurii ila namhurumia mno. Jamani masingasinga mliomo Tz, nendeni tu hata kumpungia mkono mwenzenu
 
Mpaka huyu Jamaa atakapotoka madarakani nchi hii itakuwa makini wa kutupwa
Hakuna kitu ukiona mtu anaingia madarakani na kuanza kupiga dili za kununua ndege bila utaratibu,mwisho nchi itakuwa rushwa tuu.sasa hivi TRA wakikushika hujatoa rist rushwa ni m1.5 hutaki ukalipe m4

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom