Blood Hurricane
JF-Expert Member
- Jun 21, 2012
- 1,175
- 303
Hongera manji,tunataka uige mfano wa huyu tajiri wa congo uifanye yanga iwe kama hivi....ili matajiri wengine wenye mapenzi na timu nyingine nao waige mfano wako na hatimae kuleta maendeleo kwenye club zetu
Sehemu ya Kupumzikia wakuu View kutoka sehemu ya juu ya VIP Moise Katumbi akiangalia uwanja viti vya mzunguko Makabati ya kuwekewa nguo vyumba vya kubadilishia
Picha zote kwa hisani ya Mtandao wa TP Mazembe
Pesa haiwezi nunua ushindiView attachment 58876
Bora Manji ashinde maana sisi waswahili tumeshindwa kuwa na nidhamu ya uongozi. Kila mtu anafikilia kupiga panga mshiko, tutafika kweli? Naamini Manji ataonyesha njia jinsi gani timu iendeshwe.
Mkuu Albedo unasemaje? Yaani huoni kabisaaa? Manji hata kuongea hajui na fitina za mpira pia hajui lakini katwaa Uenyekiti unadhani ni kwa sera au hela? Hana sera bali hela.
Duh jamaa zangu wa yanga sass mnaelekea kusiko. Nilikuwa nikiamini kwamba Yanga ni timu ya wauza mboga, wakwezi, wauza kahawa, nk. Sunderland ndio ilikuwa timu ya warangirangi lakini leo Yanga inatawaliwa na mrangirangi! Watanzania tutalalama sana lakini tujue tuko kwenye kinywa kipana cha wenye pesa. Manji hakupiga kampeni lakini kuna wanayanga walikuwa radhi kufa kwa ajili yake. Pesa imekuwa kila kitu kuanzia michezo hadi siasa.
Taarifa Kutoka Ukumbi Wa Diamond Jublee Zinaonyesha Kuwa Yusufu Manji ameshinda nafasi ya Mweyekit timu ya Yanga:
Jambo hili linaonekana kuwa litawakera Wanasiasa upande wa Mtandao wa Mh Sitta kwani inatajwa kuwa Manji , Rostam, Lowasa na Chenge wameunda mkakati wa kutumia Timu hiyo kupata nguvu ya kisiasa .Hata hivyo pamoja na Kashifa za Manji lakini Ubabe wa fedha ndio uliotumika.
Wapiga kura wanaangalia pesa na si tuhuma za Madawa ya kulevya!!!
Dalili hii ya Wapiga kura kuangalia pesa ya Rushwa ndiyo inaweza kuwaingiza akina Lowasa wenye mapesa hayo katika Madaraka!!!!!!!!!
A Young African Football Club now being led by an Asian............Pathetic!......Now I will hate you even more
kama wewe sio Bakilki basi Mzee Akilimali atakuwa amekuomba umwandikie hapa.mkuu hivi wewe kweli unasema kw kuwa na uhakika ama ni kwasababu ya wewe si mpenzi na wanachama wa yanga? sisi ndio wapiga kura wa Yanga na imefika mahali inabidi soka la bongo tulibadilishe, yatupasa kila mwanachama anayeona kwamba anaweza kuongoza yanga kimafanikioa basi aje agombee na akitushawishi tumpe kuura kwa ustaw wa timu yetu.
binafsi ni miongoni mwa waliokuwa wanashabikia Manji na asi kwamba alihonga ama ananijua no ni kwasababu sera zake kwamba ataifanyia nini Yanga ndiyo iliyoniconvice. na wala si kwamba hajui mchezo la hasha mara ngapai amekuwa akishauri Yanga ila tu ushauri wake unakawa unachukuliwa kama kitu cha kawaida na baadhi ya viongaozi wetu hadi kufikia hatua ya yanga kuwa timu mbovu? kama ilikuwa kila siku tunagonga kwake kuomba hela na anatupa ila akitushauri atu wanaona hela itatumika sana wanaupiga chini basi bora aende yeye ili aone hela yake anayoitoa inatumikaje. to me nilivutiwa sana na maendeleo ya Azam FC hadi kufikia kuwa timu bora kiasi hiki basi na simba na yanga zapaswa kujitahd.
eurekaaaaaa,nimekubamba leo gfsonwin,kumbe na wewe 'gongowazi'!mkuu hivi wewe kweli unasema kw kuwa na uhakika ama ni kwasababu ya wewe si mpenzi na wanachama wa yanga? sisi ndio wapiga kura wa Yanga na imefika
binafsi ni miongoni mwa waliokuwa wanashabikia Manji na asi kwamba alihonga ama ananijua no ni kwasababu sera zake kwamba ataifanyia nini Yanga ndiyo iliyoniconvice. na wala si kwamba hajui mchezo la hasha mara ngapai amekuwa akishauri Yanga ila tu ushauri wake unakawa unachukuliwa kama kitu cha kawaida na baadhi ya viongaozi wetu hadi kufikia hatua ya yanga kuwa timu mbovu? kama ilikuwa kila siku tunagonga kwake kuomba hela na anatupa ila akitushauri atu wanaona hela itatumika sana wanaupiga chini basi bora aende yeye ili aone hela yake anayoitoa inatumikaje. to me nilivutiwa sana na maendeleo ya Azam FC hadi kufikia kuwa timu bora kiasi hiki basi na simba na yanga zapaswa kujitahd.
A Young African Football Club now being led by an Asian............Pathetic!......Now I will hate you even more
Inaonekana haijui soka kabisa wewe, Ebu niambie wamiliki wa Mnchester city, Fulham nk ni watu wa wapi? Nyie ndio mnaorudisha maendeleo nyuma kisa ubaguzi wa rangi, kumbuka pia Yanga na Simba hazina ubaguzi ndio maana wakina Dewj,Gulamali, Asanoh wanahistoria nzuri ktk hizi Club.
Sasa wewe
unayeijuwa soka niambie kwa nini iliitwa YOUNG AFRICANS na
sio YOUNG TANZANIANS?
Nonsense...