Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda uwe mwanachama wa mikia.Kwa taarifa yako mi siyo shabiki ila nimwanachama wa Yanga
Ww ndo hujielewi,leo ndo mwisho wakuchukua form kamchukulie apambane na Tarimba, kelele nyingi inawezekana hata kadi hunaLabda uwe mwanachama wa mikia.
Kwa taarifa yenu ninyi mbumbumbu fc.tunamchukulia fomu na tunampigia kura.
Mkiumia jinyongeni
Tunachotaka ni kufuata sheria ishu sio Manji. Bado unababaika huna hojaNajua ndiyo,shida wana Yanga wengi mnahisi kama bila Manji hakuna Yanga,hatumuhitaji mtu tunahitaji taasisi, siyo ujinga ujinga tu wa kulialia nayeye ni binadamu what if akifa na Yanga itakufa? Tangu ameondoka timu ingekuwa taasisi ingeyumba hadi kuchangishana? Tulio kwenye matawi kiasi fulani tumeipush timu kwa vimichango jambo ambalo ingekuwa taasisi tusigefikia huko.
Endelea kumpigia kelele huyo Manji uone kama atarudi,ndo ushabiki maandazi wenyewe huu unafuata upepo tu na kukaa pale jangwani Manji alikuwa anawatoa vimia 2 2 mnaona mtavikosaTunachotaka ni kufuata sheria ishu sio Manji. Bado unababaika huna hoja
Hivi huyu Manji hakumbuki maswaibu aliyoyapata?Habari wanaJF,
Yanga timu yangu pendwa kabisa imekuwa ikipitia kipindi kigumu kwa takribani msimu mmoja na nusu hivi tangu uongozi uanze kuyumba na kupalaganyika,timbwili lilianza baada ya Yusuph Manji kujiuzuru na aliyekuwa kaimu mwenyekiti Clement Sanga kuchukua nafasi.Timu ilimuelemea Sanga na kushindwa kabisa na yeye akajiuzuru pamoja na baadhi ya wajumbe akiwemo Salum Mkemi.
Nimzunguzie Manji, huyu jamaa inaipenda na anataka kuiendesha Yanga ila njia anazotumia nizakitoto mno,anataka aipate Yanga kama mtu aliyebembelezwa na mwokozi kiasi kwamba anatengeneza magenge ya watu wanaopiga kelele kuonyesha wanamtaka Yanga, ili aipate kirahisi,baada ya kuona mission imefail ameamua kuandika barua ya kurudi Jangwani,binafsi naomba tusirudi nyuma tuendelee na utaratibu wa uchaguzi na Manji akitaka akachukue fomu apambane nawenzake kina Tarimba na si kuleta ujanja ujanja tu.
Wanayanga tunahitaji mabadiriko,tuache kurudi nyuma