Mkuu hili neno umeongea. Ukiangalia wanaopinga wote maskini, wao ndio walikua wanafaidika kupitia Yanga.
Walau angepinga mtu kama David Mosha, tungeelewa.
Maana hata akiambiwa haya timu hiyo ihudumie anaweza kujitutumua, anapinga mzee Akilimali, ambae hata kununua Ndizi za kuwiva awape wachezali wale baada ya mazoezi ili kurudisha Sukari waliyopoteza uwezo huo hana.
Nembo inayopiganiwa wanayo wao kwa Miaka 70 sasa, hakuna lolote walilofanya, sana sana walikuwa wanapitisha Bakuri wachangiwe Maharage kupeleka kambini.
Kapatikana Mbunifu wa kuifanyia kazi nembo hawataki.
Yule mzee Akilimali ilitakiwa apigwe viboko hadharani halafu aambiwe asionekane klabuni katika maisha yake yote yaliyobaki.