Hayo ndio matunda na hatari ya mfumo kristo, misa? Na watumishi ambao NI waislam aliwaandalia maombi kutokana na imani yao? Yaani inasikitisha sana nenda pale crdb premier uone palivyopambwa kama kanisa la mt.joseph, yaani anaendesha utafikiri ni taasisi ya kanisa au ya kwake binafsi. (SORRY NILIKOSEA HIYO COMMENT YA MWANZO. nA NASIKIWA KILA MWISHO WA MWAKA KUNA SEHEMU YA BONUS ITAKUWA INAPELEKWA KANISANI