Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Mwanamasumbwi machachari kutoka ufilipino ambaye pia amebatizwa jina la ngumi cherehani na mashabiki wa ndondi kutokea Tanzanian ndugu Emmanuel Dapdrin ambaye pia maarufu kwa jina la Manny Pacquiao amemtakia heri ya pambano Floyd Mayweather litakalofanyika kesho alfajiri.
Mbali na kumtakia heri pia alichomekea na kiutani kwa mbali kwa kumtaka Floyd asikimbie kimbie hovyo ulingoni bali arushe punches za maana .
Pacquiao tangu hapo awali yupo upande wa Floyd na anaamini Floyd atashinda kiwepesi sana.
Pacquiao yeye atapambana pambano la marudiano mwezi wa 11dhidi ya Jeff Horn.
Mbali na kumtakia heri pia alichomekea na kiutani kwa mbali kwa kumtaka Floyd asikimbie kimbie hovyo ulingoni bali arushe punches za maana .
Pacquiao tangu hapo awali yupo upande wa Floyd na anaamini Floyd atashinda kiwepesi sana.
Pacquiao yeye atapambana pambano la marudiano mwezi wa 11dhidi ya Jeff Horn.