Manny Pacquiao Kuachana na Ngumi, atatundika gloves mwaka 2016

Manny Pacquiao Kuachana na Ngumi, atatundika gloves mwaka 2016

figganigga

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
25,724
Reaction score
55,906
20150503122957_008_Manny_Pacquiao.JPG

Bondia kutoka nchini Philippines, Manny Pacquiao atatundika gloves mwaka 2016 baada ya kuutumikia mchezo wa masumbwi tangu mwaka 1995.

Taarifa za kustaafu kwa bondia huyo zimetolewa na promota wake Bob Arum alipokua akihojiwa na muandishi wa habari wa tovuti ya TMZ huko West Hollywood nchini Marekani, siku ya jumanne.

Arum alisema Pacquiao amepanga kuchukua uamuzi huyo kwa kutaka kupumzika na kuwapisha wengine ili watambulike na kutimiza malengo yao kwenye mchezo wa masumbwi ambao umebeba vijana wengi duniani kote. Anatataka apate muda wa kutosha wa Kujishughulisha na Siasa ili Mwakani apate Useneta huko kwao Philippines.

Promota huyo alisema bondia huyo anayetambulika kimataifa ana umri wa miaka 36 na mwezi Disemba mwaka huu atafikisha umri wa miaka 37, hivyo anaamini ni wakati mzuri kwake kufanya maamuzi ya kujiweka pembeni.

==============================

Manny Pacquiao's boxing career is on its last legs ... with his promoter saying the fighter will retire next year -- to focus on becoming President of the Philippines!

Bob Arum was out at Craig's Tuesday night when he told us Manny is planning to fight again next year once he heals up -- but that's probably the very last bout for the 36-year-old.

"He's gonna fight again next year but his goal is to become a senator in the Philippines, which he will be next year, and then to be president."


Arum added, "I think Manny will retire once he's elected to the Senate of the Philippines which is next year ... he's gonna hang up the gloves."

Manny has been involved in politics for years in the Philippines -- and has been elected to Congress twice before.




Chanzo:www.tmz.com
 
Last edited by a moderator:
20150503122957_008_Manny_Pacquiao.JPG

Bondia kutoka nchini Philippines, Manny Pacquiao atatundika gloves mwaka 2016 baada ya kuutumikia mchezo wa masumbwi tangu mwaka 1995.

Taarifa za kustaafu kwa bondia huyo zimetolewa na promota wake Bob Arum alipokua akihojiwa na muandishi wa habari wa tovuti ya TMZ huko West Hollywood nchini Marekani, siku ya jumanne.

Arum alisema Pacquiao amepanga kuchukua uamuzi huyo kwa kutaka kupumzika na kuwapisha wengine ili watambulike na kutimiza malengo yao kwenye mchezo wa masumbwi ambao umebeba vijana wengi duniani kote. Anatataka apate muda wa kutosha wa Kujishughulisha na Siasa ili Mwakani apate Useneta huko kwao Philippines.

Promota huyo alisema bondia huyo anayetambulika kimataifa ana umri wa miaka 36 na mwezi Disemba mwaka huu atafikisha umri wa miaka 37, hivyo anaamini ni wakati mzuri kwake kufanya maamuzi ya kujiweka pembeni.

==============================



Chanzo:www.tmz.com

..alryt; all the best manny.!
 
Back
Top Bottom