Manny Pacquiao Vs Floyd Mayweather

Manny Pacquiao Vs Floyd Mayweather

Maundumula

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2010
Posts
7,553
Reaction score
3,081
Hawa miamba wawili kwanini hawatwangani tujue nani mbabe zaidi maana kila mtanange ukipangwa upande mmoja unazingua.

Mimi naamini Mayweather ni mkali kuliko Pacquiao ninachosubiri ni raundi 12 tu tuje kujua nani ni nani sio vizuri kuwa na watema wawili kwenye era moja!.
 
Back
Top Bottom