Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 6,974
- 8,750
Full confusionModel ya Nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Full confusionModel ya Nini?
Kariakoo Kuna kiingilio?mbona watu hawakanyagani?Yes ukiweka bure hapatatosha ndani...watu watajaza mpaka pa kukanyaga kutakuwa hakuna....halafu wale wenye kwenda kujifunza na kununua vitu hawataingia ,wataenda wale wazee wa kitonga/sadala kwa ajili ya kwenda kuangalia wanyama tu na hawana hata mia ya kununua vitu.
Kwahiyo watu waenye fedha wakiona shazi kubwa hawatoingia......lakini ukiweka kiingilio utawaondoa hao wazee wa kitonga na kuwapata wenye nia ya dhati ya kuingia 77.
Kariakoo Kuna kiingilio?mbona watu hawakanyagani?
PambaniaUnapajua K/koo? Au unazungumzia K/koo ya Kilosa?
Ferry yao inaitwa Likoni, ipo Mombasa 001 pwani ya kenya. Kinacholipishwa ni gari tu. Mwenda kwa miguu anavuka buree kabisa.Nchi hii ya maajabu kweli ndo nchi pekee (kwa ufahamu wangu) unalipia PANTONI. wakati ndugu zetu Kenya hapo pamoja na kupenda sana pesa lakin Pantoni zao ni bure. Sasa sisi tunatoza pesa kila sehemu ukiuliza unaambiwa kama huna pesa PIGA MBIZI.
Sisi wote wanalipa. DaahFerry yao inaitwa Likoni, ipo Mombasa 001 pwani ya kenya. Kinacholipishwa ni gari tu. Mwenda kwa miguu anavuka buree kabisa.
DuuhTununue apartments Dubai