Manufaa mapya ya Barakoa

mludego

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2013
Posts
2,597
Reaction score
3,565
Straight kwenye mada kutokana na mlipuko covid 19 wengi wetu ndio tumezifahamu "mask" barakoa..

Wengi tulikua tunaziona hospitalini kwa wale wanaofanya kazi theatre Mara nyingi wao ndio huzivaa (hapo awali) tofauti na hivi sasa zinavaliwa na watu wa nyanja mblmbl ili kujikinga na virus vya corona..

Kwanza zimekuja na faida nyingi

1. Kwenye daladala zimepunguza harufu mbaya ya vinywa ile harufu mbaya ya mdomoni miongoni mwa abiria imepungua zaidi labda ya vikwapa vya baadhi ya makoñdakta..

2. Vilevile sehemu za kazini kulikua na haka ka kero ka harufu mbaya..
 
Huo ni ukweli kwa watu wengi wasioujua,ila utafiti niliousoma leo ya kuwa Covid-19 inaambikizwa kupitia kwenye macho ndio umeniacha hoi...
Lakini si wanasema eti droplets zenye Corona zikipitia machoni unaambukizwa?
 
Siku hizi boss hanizingui khs mitungi anajua nimeacha haisikii kbs harufu ya tungi
 
Barakoa unaweza pishana na mtu anaekudai ukasave.
Yan swala hizi barakoa hata hili tatizo likipa Kuna watu tumeshapata njia mpya yakuingia mjini na kufanya yako bila mden wako kukujua Yan itaendelea kuvaliwa kwagia ya kujikinga na mafua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…