Mafian cartel
JF-Expert Member
- Nov 19, 2021
- 3,876
- 7,118
Naomba kuuliza hizo perfume za kupima bei ya chini ni shingap na je unapimiwa perfume yoyote unayotakaHapohapo ukitazama madukani utaona Kuna sehemu Ipo wazi,, ndani yake Kuna frem zimetazamana.
Yaani ni mitaa hiyohiyo,ukichezesha macho utapaona.
Usiende kwenye zile barabara za vumbi .
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Inategemea na mils.Naomba kuuliza hizo perfume za kupima bei ya chini ni shingap na je unapimiwa perfume yoyote unayotaka
Sent from my TECNO-L8Plus using JamiiForums mobile app
ShukranInategemea na mils.
Sehemu nyingine hata za elfu 2 zipo.
Unapimiwa yoyote unayotaka.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Hizo za kupima zinaanzia elfu 2 tu!Kijana kama bado haujapata ajira usihangaike na perfumes izo za gharama... Nenda dukani kanunue Sansiro kwa 2500/= na utakuwa sawa na walionunua za Laki Laki na hautoijutia kamwe [emoji6]
Ndio ila nzuri zaidi ni za kuanzia Elfu3Hizo za kupima zinaanzia elfu 2 tu!
Unanukia kitajiri.
Zote hata nzuri zinaanzia hiyo bei,inategemea nachukua mils ngapi.Ndio ila nzuri zaidi ni za kuanzia Elfu3
Kuna jamaa aliwahi kunipita harufu ya pafyum yake ikanistua. Moyoni nikajisemea huenda hii pafyum imetengenezwa na wale wajasiriamali wanaotengeneza sabuni za vyooni na batiki kwa kutumia mshumaaKijana kama bado haujapata ajira usihangaike na perfumes izo za gharama... Nenda dukani kanunue Sansiro kwa 2500/= na utakuwa sawa na walionunua za Laki Laki na hautoijutia kamwe [emoji6]
Hauwezi nukia kitajiri kwa perfume ya elfu 2. Ni kupeana faraja tu.Hizo za kupima zinaanzia elfu 2 tu!
Unanukia kitajiri.
Utajiri una harufu ?Hauwezi nukia kitajiri kwa perfume ya elfu 2. Ni kupeana faraja tu.
Nitolee ushamba wako wa kienyeji hapaUtajiri una harufu ?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nitolee ushamba wako wa kienyeji hapa
Something somewhere is wrong from youNitolee ushamba wako wa kienyeji hapa
[emoji38][emoji38]Hauwezi nukia kitajiri kwa perfume ya elfu 2. Ni kupeana faraja tu.
Nitolee ushamba wako wa kienyeji hapa
Ipo fresh, ila ni nzur ukijipuliza maximum spray 6 ukizidisha hapo utaona inanukia vibaya utapigisha watu chafyaNatumia MOUSUF
Vp, nimezingua au?
Mm ni mdau wa one million Toka Enzi hizo once tried creed aventus ...asee creed ni shughuli ingne wajumbeKumbuka perfume nzuri ni ile inayomfanya mtumiaji kujisikia vizuri, kuongeza confidence na uchangamfu, na kusaidia kuexpress haiba na mood yake. Kwa hiyo natakiwa kuchagua the best and right one.
Mimi naomba kujua ni pafyum zipi nzuri za kiume?
Msaada tafadhari