Ahmed Ali yeye ni afisa habari, je anahusika vipi na kufungwa kwa timu.Ni ukweli usiofichika kwamba MANULA anatuhujumu, kama mnataka tufike salama, huyuasisogee uwanjani kabisa.
Aidha Ahmed Ally inaonekana unatusaliti Dana shida ni ni? Unaweza ku stepdown kimyakimya na maisha yaendelee.
Umesema kweli, nliwaambia watu Goli la kwanza kasababisha kibu ana tabia ya kujiqngusha hovyoGoli la kwanza KIBU.
Goli la Pili Kennedy/Manula.
Mpira ni mchezo wa Makosa, mpira ni ajira yao sidhan kama yasemwayo kwa Manula ni kweli, ila kwa timu kubwa kama. SIMBA golikipa kurubuniwa mtu alipwe 30-50M ipo sana tu na Kaseja alishaweka wazi.
Kwahiyo sishangai Endapo kweli Manula yupo kwenye mkeka wa Muuza Magodoro.
Ingekua ni game dhidi ya yanga wangesema Manula na Inonga wapo kwenye payroll ya De la boss GSMAlipigwa chenga akapata kizunguzungu kikali,akasingizia kuumia baada ya kuchomesha
Ile ingetokea kwenye game dhidi ya yanga wangesema Manula na Inonga wapo kwenye payroll ya De la boss GSMUjanja ujanja tu kukwepa lawama
Wameuza pia kwa prisons,maana prisons kwa bahasha 😀😀Ingekua ni game dhidi ya yanga wangesema Manula na Inonga wapo kwenye payroll ya De la boss GSM
Yaani mmefungwa na Prison halafu mnamuhusisha muuza magodoro. Kwanini musimtaje mkuu wa gerezaGoli la kwanza KIBU.
Goli la Pili Kennedy/Manula.
Mpira ni mchezo wa Makosa, mpira ni ajira yao sidhan kama yasemwayo kwa Manula ni kweli, ila kwa timu kubwa kama. SIMBA golikipa kurubuniwa mtu alipwe 30-50M ipo sana tu na Kaseja alishaweka wazi.
Kwahiyo sishangai Endapo kweli Manula yupo kwenye mkeka wa Muuza Magodoro.
Naunga mkono hoja 🤣Ingekua ni game dhidi ya yanga wangesema Manula na Inonga wapo kwenye payroll ya De la boss GSM
Muuza magodoro ndio mnapigania nae nafasi ya pili? Sema muuza ukwajuGoli la kwanza KIBU.
Goli la Pili Kennedy/Manula.
Mpira ni mchezo wa Makosa, mpira ni ajira yao sidhan kama yasemwayo kwa Manula ni kweli, ila kwa timu kubwa kama. SIMBA golikipa kurubuniwa mtu alipwe 30-50M ipo sana tu na Kaseja alishaweka wazi.
Kwahiyo sishangai Endapo kweli Manula yupo kwenye mkeka wa Muuza Magodoro.
Kama wewe ulikuwa mpumvavu kuliko wote humu jukwaani mpaka ukapelekwa kwa psychologist akakushauri uachane na ushabiki maandazi.UKISHABIKIA SANA HIZI TIMU NA AKILI ZA KICHWANI HUWA ZINAYEYUKA.
UKIPENDA SANA SIMBA NA YANGA AKILI ZINAANZA KUPUNGUA.
MTU ANAANZA KUWA MJINGA NA MPUMBAVU PUMBANVU.
Hebu sasa muwe na msimamo?Ni ukweli usiofichika kwamba MANULA anatuhujumu, kama mnataka tufike salama, huyuasisogee uwanjani kabisa.
Aidha Ahmed Ally inaonekana unatusaliti Dana shida ni ni? Unaweza ku stepdown kimyakimya na maisha yaendelee.
Kaka samahani, wewe unasema umeacha simba na yanga.UKISHABIKIA SANA HIZI TIMU NA AKILI ZA KICHWANI HUWA ZINAYEYUKA.
UKIPENDA SANA SIMBA NA YANGA AKILI ZINAANZA KUPUNGUA.
MTU ANAANZA KUWA MJINGA NA MPUMBAVU PUMBANVU.
1.Goli la Kwanza Kennedy kapimwa umri, ghafla Mbangula na Manula face to face. Angejaribu kufuata angepigwa chenga yeye mngecheka zaidi na lawama juu.Ni ukweli usiofichika kwamba MANULA anatuhujumu, kama mnataka tufike salama, huyuasisogee uwanjani kabisa.
Aidha Ahmed Ally inaonekana unatusaliti Dana shida ni ni? Unaweza ku stepdown kimyakimya na maisha yaendelee.
Inonga ni msanii kutoka DRC kwenye Soka!!Inonga anajua kucheza na shabiki, kajichizisha kijinga tu, na angeguswa pale ungeona jinsia angeruka .
Anapenda kutuhadaa sana mpyumbavyu sana.
Hili jamaa ndio lilikua linabadirisha majina kipindi kile wakati Yanga inashiriki shirikisho kila timu pinzani na Yanga linajiita hivyo..Kama wewe ulikuwa mpumvavu kuliko wote humu jukwaani mpaka ukapelekwa kwa psychologist akakushauri uachane na ushabiki maandazi.