Manula apumzishwe hadi mwisho wa ligi

Pimbi kabisa
 
Wewe huna hoja kabisa. Timu kufungwa ni kawaida hata Manchester City wamefungwa na Man U tena mara mbili, ushindi wa Man U ukichangiwa na makosa ya kipa Ederson wa Man City lkn hatujasikia wakisema kuwa anaipenda Man U au hatujasikia wakisema Guardiola afukuzwe.

Acheni ushamba na mambo ya kiswahili, kwani Simba ni nani ndio wasifungwe? Ushabiki mwingine ni maandazi kabisa.
 
Swali je forward kina Boko na Kagere walikuwa wapi?
Simba Kwa Sasa haina Mshambuliaji wa Kiwango cha Simba.
Sijui kwanini Benchi la ufundi limeshindwa kabisa kutafuta washambuliaji vijana hata Wakitanzania wenye kiwango hata cha Iddi Selemeni NADO.
Kamwe Mzee Boko na Mzee Kagere hawawezi kutumainiwa Kwa Mechi ngumu, kama Ile ya Yanga.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
na Mkude nae ni Yanga asipangwe.
Mkude siku zote kwenye mechi ya Simba na yanga anacheza rafu nyingi za makusudi na kiwango Cha uchezaji wake kinakuwa kidogo, huyo naye naamini ni yanga, wachezaji wawili hao wakiendelea kupangwa watatusababishia kufungwa mechi nyingi, wana tamaa, GSM iliwapa chochote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Magoli anayofungwa De gea hatujawahi kusikia mambo kama haya, tatizo mnakua mamluki katika soka hivyo hamuelewi chochote juu ya mchezo huu pendwa,
Mtu wa mpira hawezi kumlaum manula kwa goli lile la adhabu ndogo, siku zote adhabu ndogo mtu wa kwanza kucheza ni wale waliopanga mstari

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nado ni mtu sahihi kulik kahata na Luis combined

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sawa Manura kafungwa , viungo pamoja na washambuliaji walifanya juhudi gani kurudisha bao na kuongeza bao la ushindi.

Kwa ujumla timu ilicheza hovyo , bao walizokosa kina Kagere zilitosha kuamua mchezo mapema.

Walikosa umakini tangu mwanzo na kujiamini kwingi,

Tatizo lingine faulo nyingi ndio ziliigharimu timu,Mkude ni vizuri apewe ushauri plus clatous Chama rafu za nini badala ya kutengeza nafasi, upuuzi upuuzi mwingi tu.

Alafu mechi kama hizi lazima wachezaji wakomae kazi kazi mwanzo mwisho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…