tatamajuva
Member
- Sep 11, 2019
- 74
- 84
MANULA NI MUOGA NA MOYO WAKE NI YANGA
Mimi ni mshabiki kindakindaki wa Simba , nimemfuatilia kwa karibu manula kwa mechi alizocheza na yanga ni dhahiri hakubali yanga kufungwa, hivyo yeye ni mmoja wa wachezaji wanaoisaidia Simba kufungwa, hii imedhibitishwa na magoli aliyofungwa duru la kwanza na mechi ya leo Yana ufanano, hii mechi alipaswa kudaka kakolanya na siyo huyu , manula ni kipa mzuri kwenye mazoezi na si kwenye Derby kama hii.
Huyu dhahiri pamoja anaichezea Simba sports club ila moyoni mwake ni Yanga. Hali kadhalika kocha mkuu hafai kwani ni mtu asiyechukua maamuzi sahihi kwa wakati kwa kutokufanya substitution mapema.
Nashauri Manula asipangwe hadi msimu uishe wa duru la pili, pia kocha mkuu amalizie msimu aende zake.
Sent using Jamii Forums mobile app