mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Mi kwangu, huyo forward alivyoukosa huo mpira au goli la wazi...na wasi wasi huenda Manula ni hicho kitambaa cheupe kinachoning'inia ktk nyavu za pembeni....Tuweke maaba pembeni,tujibu kwa hoja za kimichezo,kipa jana alikua chini ya kiwangoView attachment 939165
Kona ni kitu cha kawaida kwenye mpira. Manula jana kachomesha period...huyo kipa ni mbovu. Mzuri kwenye mechi za manunuzi.Mi nadhan kosa kubwa ni la yule beki mjinga aliyetoa kona wakati alikua na Uwezo Wa kuondoa Mpira
acheni mambo ya ajabu nyie!!ule moira angeweza kuudaka?yeye kama yeye alitimiza jukumu lake la kuupangua pale golini kulikuwa na mabeki wangapi ambao mpira uliwapita??aliokoa goli ngapi?tatizo wabongo huwa kila kitu tuna fanya kwa mbinu zile zile tukitegemea matokeo tofauti!!Kwa hapo Manula alikuwa anarudi baada ya kutuokoa...... kosa ni pale alivopangua kishamba ule mpira uliozaa goli....
tulisha wazoea watu kama nyie!!kweli kwa mchezo wa jana ni wa kumlaumu kipa?aliokoa michomo mingapi?yule beki aliporudisha nyuma isingekuwa yeye kuwahi si lingekuwa bao?kona ameipangua vizuri moira umewapita mabeki wangapi wako golini?Kona ni kitu cha kawaida kwenye mpira. Manula jana kachomesha period...huyo kipa ni mbovu. Mzuri kwenye mechi za manunuzi.
Mi ningependa kujua "manula hapo anaenda wap"?Tuweke maaba pembeni,tujibu kwa hoja za kimichezo,kipa jana alikua chini ya kiwangoView attachment 939165
Hata goli ni makosa yake. Kaupanchi mpira hapo hapo. Experienced goal keeper ni aibu. Lakini tukubali tu tulizidiwa.Tuweke maaba pembeni,tujibu kwa hoja za kimichezo,kipa jana alikua chini ya kiwangoView attachment 939165
Tatizo lilianzia hapo kwenye line up,amunike asome alama za nyakati kabla cv yake kwenye soka haijachafukaHata goli ni makosa yake. Kaupanchi mpira hapo hapo. Experienced goal keeper ni aibu. Lakini tukubali tu tulizidiwa.
Kocha mbovu. Ile lineup ya kijinga kabisa. Mabeki sita, viungo wakabaji wawili na strikers wawili wasiolishwa
Wew sio wakujibiwa. Inawezeka jikuangalia mpira au hujui mpiraTuweke maaba pembeni,tujibu kwa hoja za kimichezo,kipa jana alikua chini ya kiwangoView attachment 939165
Mkuu yaani wew no kama mimi. Alivyotoa kona tu nililalamika sana. Nikasema hivi kwanini katoa kona wakati alikuwa na uwezo wa kutoa nje kawaida tu. Hivi ni beki gani yuleMi nadhan kosa kubwa ni la yule beki mjinga aliyetoa kona wakati alikua na Uwezo Wa kuondoa Mpira
Mara 3 mkuiAnd ule mpira ulivyopigwa ni zile kona zinazoingiaga zenyewe kilicho msaidia manulla alikuwa kasimama palepale mpira ulipokuwa unaingia so akaruka akawa amekutana nae but hata angefanikiwa kuuokoa ingekuwa kaubahatisha tu...
Mh kwahiyo ndio ulivyobet?Nashukuru taifa stars haijawah kuniangusha kabisa kwenye betting zangu
Inaonyesha hii mechi hujaiangalia jana...kama uliangalia usingeuliza swali kama hiliTuweke maaba pembeni,tujibu kwa hoja za kimichezo,kipa jana alikua chini ya kiwangoView attachment 939165
Haya ndo mahaba sasa, mwanamichezo neutral hawezi kuacha kumlaumu Manula kwa kosa lililozaa goli. Radia kuangalia video ya goli utaona udhaifu wake.Ule mpira haujapanguliwa kishamba kama unavyosema ule mpira ulipigwa vizuri na ulishamzidi kipa sema kuruka ndo bahati akakutana nao....so alivyoupangua bahati mbaya ukawa bado upo uwanjani mtu akaruka kichwa ukapita miguuni mwa mabeki wawili...kwa jinsi ule mpira ulivyopigwa si rahisi kipa ku u control kama watu wanavyofikiria...jamaa anaweza kuwa kweli alikuwa na madhaifu yake but lile goli c la udhaifu
Tumzomee forward anatuhusu?Sasa hapo wa kuzomewa ni Manula au huyo Foward aliyekosa mpira ukampita tobo na kukosa goli la wazi kabisa.