Manula, kaa sawa Camara anapata uraia, Taifa Stars utakalia mbao tu

Manula, kaa sawa Camara anapata uraia, Taifa Stars utakalia mbao tu

Hapa wanakimbia gharama za kuvunja mikataba kwa wageni kitu ambacho kina wasumbuua zaidi Yanga, Singida nk kwa kuwalipa wageni pesa nyingi za kuvunja mikataba

Ukiangalia singida na yanga ni moja ya klabu zinazoongoza kupeleka wavhezaji kwa mkopo timu zingine ili waweze kupata nafasi ya kusajili wakimataifa.

Na inaposhindikana ndio kunaibuka hii njia mpya ya kuomba uraia
 
Hapa wanakimbia gharama za kuvunja mikataba kwa wageni kitu ambacho kina wasumbuua zaidi Yanga, Singida nk kwa kuwalipa wageni pesa nyingi za kuvunja mikataba

Ukiangalia singida na yanga ni moja ya klabu zinazoongoza kupeleka wavhezaji kwa mkopo timu zingine ili waweze kupata nafasi ya kusajili wakimataifa.

Na inaposhindikana ndio kunaibuka hii njia mpya ya kuomba uraia
Simba ndo wamepeleka majina ya Mutale Mkwala Deborah na Jobe wawe raia
 
IMG-20250123-WA0020.jpg
 
Yanga hatuna huo umbumbumbu
Sisi wachezaji wetu ni wakubwa wanacheza timu za mataifa Yao
Sio hao wa makolo wanamtafuta sehemu ya kuitwa national team
Hakuna wachezaji pale ni mazuzu yote..umri umewatupa mkono...
 
Back
Top Bottom