Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujaona timu lako linamwombea Mutale, Mkwala, Deborah na Jobe uraiaNyie endekezeni tuu upuuzi...yani tuko milion 60 bado mnawapa uraia watu...
ufala na kujipendekeza kwa wageni wenyeji tu kupata passport ni kama anasa pale uhamiajiNdio
Na wewe pekeleka maombi ya timu lako au kwa sbsb ni wazee wote..Hujaona timu lako linamwombea Mutale, Mkwala, Deborah na Jobe uraia
Yanga hatuna huo umbumbumbuNa wewe pekeleka maombi ya timu lako au kwa sbsb ni wazee wote..
Simba ndo wamepeleka majina ya Mutale Mkwala Deborah na Jobe wawe raiaHapa wanakimbia gharama za kuvunja mikataba kwa wageni kitu ambacho kina wasumbuua zaidi Yanga, Singida nk kwa kuwalipa wageni pesa nyingi za kuvunja mikataba
Ukiangalia singida na yanga ni moja ya klabu zinazoongoza kupeleka wavhezaji kwa mkopo timu zingine ili waweze kupata nafasi ya kusajili wakimataifa.
Na inaposhindikana ndio kunaibuka hii njia mpya ya kuomba uraia
Umoja wa mataifa umeamua hawataki wachezaji wanaocheza vilabu vinavyoishia makundi kuwakilisha mataifa.Yanga hatuna huo umbumbumbu
Sisi wachezaji wetu ni wakubwa wanacheza timu za mataifa Yao
Sio hao wa makolo wanamtafuta sehemu ya kuitwa national team
Hakuna wachezaji pale ni mazuzu yote..umri umewatupa mkono...Yanga hatuna huo umbumbumbu
Sisi wachezaji wetu ni wakubwa wanacheza timu za mataifa Yao
Sio hao wa makolo wanamtafuta sehemu ya kuitwa national team