Manula, kaa sawa Camara anapata uraia, Taifa Stars utakalia mbao tu

Manula, kaa sawa Camara anapata uraia, Taifa Stars utakalia mbao tu

Hakuna wachezaji pale ni mazuzu yote..umri umewatupa mkono...
Ngoma
Mzamiru
Kapombe
Shabalala
Mutale
Mkwala
Manual
Ateba
Unawaona under 18, mnatulazimishe tumpe heshima Rage aliyewaita mbumbumbu
 
Camara wa SimbaSC akipewa uraia hatakidhi vigezo vya kuiwakilisha timu ya taifa kwani ameshalitumikia taifa lake.
 
Camara hawezi kucheza Taifa stars
Nashangaa watu wanavyofurahia hawa wachezaji wa kigeni kupata uraia, Yaani viongozi wetu wanashindwa kukuza vipaji tulivyonavyo kupitia academy za vijana wanaenda kununua raia wa kigeni kuwa watanzania, hivi hao tunaowanunua wanatuonaje, hata wakipata huo uraia watakuwa na mapenzi ya dhati bongo kama ilivyo Kwa mataifa yao? Imagine Guinea anacheza na Tanzania na langoni kasimama Pinpin, atafanya kazi Kwa mapenzi yake? Ifike hatua tuache mihemko ktk maamuzi. Mfano Pinpin ana miaka 25+ atadumu timu ya taifa muda wa miaka mingapi akiwa na ubora wake??
 
Rushwa ya mshahara na pesa za usajiri wachezaji wanayodaiwa na baadhi ya viongozi wa vilabu ni tatizo Moja wapo
Mfano wa
Ngoma
Kibu
Fraga
Tadeo lwanga
Hawakutoa chochote
Waliundiwa mizengwe mingi kiasi chale japo majeruhi ilipnekana ni njia mojawpo ya kuwaswaga. Watu wabadilike
 
Inaonekan hata Sheria za Fifa huzijui, mchezaji akishachezea Timu kubwa ya Taifa lake hata mechi moja tu,... akibadilisha uraia haruhisiwi kucheza Timu ya taifa ya hilo taifa lake jipya.
 
Upuuzii mtupu......tumehamisha magoli....kutanua pia....hakuna miracles kwa mpira wetu kukua wala chochote.....wazee hao wameshacheza team zao Taifa pia msimu 2 mbele wanastaagu mpira
 
Nyie endekezeni tuu upuuzi...yani tuko milion 60 bado mnawapa uraia watu...
Hii ya kugawa uraia kama pipi ni challenge mpya kwa wachezaji wazawa waliokuwa oya oya na timu ya taifa. Sasa watakaa benchi na kujutia nafasi zao timu hadi watu watukane ndo washinde.

Hawa wageni tumewapa uraia ni haki yao watakiwasha haswa, kawaida kwa asili Tanzania ni shamba la bibi atakae na aje ila usiwe mkorofi tu ukagombea ubunge au urais, tofauti yetu na Marekani wao matajiri kisha makatili sisi masikini kisha wakarimu otherwise ni nchi ya ahadi hakuna kama sisi Africa nzima no ubaguzi kwa mtu yoyote.
 
Yanga hatuna huo umbumbumbu
Sisi wachezaji wetu ni wakubwa wanacheza timu za mataifa Yao
Sio hao wa makolo wanamtafuta sehemu ya kuitwa national team
Kwamba camara haitwi neshino timu?
 
Back
Top Bottom