Kwa hiyo mtoa mada unataka kusema ukuta wa Yanga umemsaidia Manula kupata clean sheet ya kwanza msimu huu!!
Mkuu tusubiri mechi ingine, walicheza hovyo ingawa walishinda,na Niger wenyewe wana kiwango duni,tuone mechi inayofuata wakikutana na Morocco kama goli haitakwepoLeo Manula alikuwa mchangamfu mwenye bashasha na furaha sababu alikuwa nyuma ya ukuta imara wa yanga. Nadhani huko alipo anatamani asajiliwe Yanga ili awe salama kutoka na ukuta mzito tofauti na ule wa Yeriko wa kwetu wana Lunyasi
Hongereni Yanga kwa ukuta ule mmemfanya Manula asipate kazi nzito kutoka kwa washambuliaji hatari wa Niger
Kuna kitu cha kujifunza sisi wanalunyasi mabeki wapo hapa hapa bongo.
Hongereni Taifa Stars