Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
manula kishafanya makosa mengi mno , inatosha sasa , simba ilishakuwa na makipa wengi sana waliondoka na bado ilisonga mbeleMkuu hakuna kipa yeyote mzuri asiyefungwa. Huyo huyo Manula unayemuona kipa mbovu, kafanya saves nyingi sana za clear chances.
Sent using Jamii Forums mobile app
anzisha timu yako umchukue , sisi ndio tushaanzisha fitna sasa na haturudi nyumaManula ni TANZANIA ONE, Kakolanya ndio kipa mbovu sana, subiri uone atakachofanya simba tutamkumbuka Manula, kocha asisikilize mashabiki uchwara aendelee kumuamini Manula
Aiseee !!!Azam hilo waliiliona mapema wakaamua kuachana naye.
Yule siyo kipa ni Pazia , kawaangusha sana Simba mechi ya juzi wampe Beno nafasi.
na wewe anzisha Timu yako ,Usimsajili Manual...yaani Yanga kuchomoa Goli mbili imekuwa shiiiiida .Utafikiri hamjui Mechi hizi za Watani,anzisha timu yako umchukue , sisi ndio tushaanzisha fitna sasa na haturudi nyuma
Yule kuna kitu anawapa makocha,sio bureManura ametufanya vibaya mpira na yanga yaani anadaka alafu mpira unaingia wavuni amenitoa imani kwake sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Shabalala ni ugonjwa mwingine haswa apokutana timu inayocheza kwa speed, na hili ni goli la pili kujifunga ambapo la kwanza ilikuwa na azam fc tena almanusra wapigane na munula. Shabalala mechi kubwa asiwe anapangwahivi nyinyi huwa mnaangalia mpira au mnahadithiwa lakini inawezekana mmeangalia lakini tayari kichwani mna hisia zenu nendeni youtube muangalie vizuri goli la pili kosa la nani au shabalala kawaroga hadi mashabiki wasione makosa yake