Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Kiwango cha golikipa huyu kiukweli ni cha kutia shaka mno , mimi nilimstukia kitambo kirefu sana na hata baada ya Kocha wa Taifa Stars Ndaiyagile kumbwaga na kumchukua Kikongwe Kaseja sikushangaa
Goli la pili alilofungwa na yanga lilitosha kabisa kwa timu ya Simba kuanza kusaka kipa mwingine .
Goli la pili alilofungwa na yanga lilitosha kabisa kwa timu ya Simba kuanza kusaka kipa mwingine .