Manula siyo goalkeeper,acheni kumbemba

Duuh...! Kumbe kubashiri kwako kumepoteza maana kabisa. Yaani mpaka leo mnaamini katika uchawi ktk soka?. Masikini nchi yangu Tanzania. Kwa namna hii ni halali hata Madagascar watuzidi soka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rubbish!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Simba ina mapungufu mengi kwenye namna ya ukabaji, hili ni somo kwa kocha wao, mechi nne au tano zilizopita hawajafungwa goli kwa sababu hawakukutana na wachezaji wenye uwezo, wakaishia kukoswakoswa tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Simba ina mapungufu mengi kwenye namna ya ukabaji, hili ni somo kwa kocha wao, mechi nne au tano zilizopita hawajafungwa goli kwa sababu hawakukutana na wachezaji wenye uwezo, wakaishia kukoswakoswa tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Hilo ndio tatizo kubwa la Simba na pia fitness yao sio ya dakika 90. Kuhusu magoli, goli la kwwnza la Yanga wakulaumiwa ni mzamiru aliyepoteza mpira na badala ya kufanya faulo kwa barama akawa anamsindikiza. Goli la kusawazisha Manula hawezi kukwepa lawama.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yote anabeba lawama. Positioning yake huwa mbovu na leo kaithibitisha hivyo.

Alishaona timu imepoteza mpira na jamaa anasogea kupiga.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah unajua sana mpira ,nimesema kabisa kama manula angekuwa usawa wa golini asingefungwa au angeweza kuokoa,na balama alipiga baada ya kuona manula katoka golini,manula aanze bench sababu Hana analomzidi kakolanya;fikiria michomo ya wazi aliyookoa kipa wa yanga ingekuwa manula wangefungwa magoli mengi,manula anabebwa na baadhi ya viongozi clubuni,Kaiua sana simba jana,inaumiza mnoo aisee,balama mara ya pili hii anamfunga aina sawa ya magoli
 
Inasemekana mkataba wa manula na simba umesainiwa lazima awe namba 1 kama siyo majeruhi,hapo ndo utata
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…