msukuma fekero
JF-Expert Member
- Aug 12, 2017
- 2,285
- 2,969
Ndiyo wakome timu inakuwa kama kilabu cha wanzuki inaiingia mikataba ya ajabu ajabuInasemekana mkataba wa manula na simba umesainiwa lazima awe namba 1 kama siyo majeruhi,hapo ndo utata
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndiyo wakome timu inakuwa kama kilabu cha wanzuki inaiingia mikataba ya ajabu ajabu
Yaani ni Mambo ya ajabu mara Manila piga au lazima aanze mara huko sijui kuna Mo Arena badaka ya Simba Arena ujinga ujinga tu
Yaani yanga wamepiga on target mara mbili na wamefunga mabao mawili, maana yake, yaani acha tu.Dah unajua sana mpira ,nimesema kabisa kama manula angekuwa usawa wa golini asingefungwa au angeweza kuokoa,na balama alipiga baada ya kuona manula katoka golini,manula aanze bench sababu Hana analomzidi kakolanya;fikiria michomo ya wazi aliyookoa kipa wa yanga ingekuwa manula wangefungwa magoli mengi,manula anabebwa na baadhi ya viongozi clubuni,Kaiua sana simba jana,inaumiza mnoo aisee,balama mara ya pili hii anamfunga aina sawa ya magoli
Bashite anaumia sana hizi lawama kwa Manula