Manula siyo goalkeeper,acheni kumbemba

Juma mgunda alimuacha kwenye chan ila wanasimba tukamuona mbaya,
manula anapangwa kwa sababu anapigania nafasi kwa kuroga sana pale simba ila uwezo hana,

Golikipa gani anafungwa magoli hayohayo kila siku,
ukiinua macho ukapiga ndefu imooo,


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani yanga wamepiga on target mara mbili na wamefunga mabao mawili, maana yake, yaani acha tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…