Manunuzi mtandaoni

Masseto

JF-Expert Member
Joined
May 14, 2020
Posts
1,615
Reaction score
3,205
Habari wana JF, kwa wazoefu naomba msaada kuelekezwa namna ya kuijaza adress Fomu ya ALIEXPRESS kuna parcel nahitaji kuiagiza uko mtandaoni sasa nimekomea apa.

1. STREET ADRESS ni adress ya posta mahali nilipo au.??

2. kuna section imeandikwa APARTMENT/SUIT/UNIT etc apa pia sijapaelewa kabisa.

3. Hii sehem ya STATE/PROVINCE/COUNTRY najaza nin.

4. Na sehemu ya CITY ni kwamba najaza mji wangu ama nin maana nipo nje kabisa ya mji yaan mkoani .

5. Nikimalizia na kipengele cha ZIP CODE ne na hiz ni code gani. tafadhar msaada

MZIGO NILIPENDA NIUPOKEE KUPITIA POSTA
 
Pia naomba msaada kuelekezwa kuhusu payment wakuu.
 
Ndugu,cha muhimu hapo ni namba yako ya simu na postal address.hasa simu iwe inapatikana kwasababu mzigo wako utakuja directly posta na posta watakupigia simu uende upokee mzigo wako pale.utaenda na kitambulisho.

Kuhusu malipo,pesa inakatwa kwenye account ambayo utapenda wakate ela.ila lazima hiyo account iwe inaruhusu kufanya online transaction.ilo linafanyika bank.nenda watakupa form ya kujaza ili waifanye account yako iweze kufanya manunuzi mtandaoni.
 
Asant.
Tatizo pia ni izo info apo apo juu mara zip code sijui ni nin, na zinginezo
 
Kitakachonishinda hapo ni hiyo sijui mi unit nakadharika..πŸ˜…

ZIP CODE jaza 00000 au unaweza usijaze sidhani kama tz tuna hizi namba! ..
STATE jaza Tanzania
CITY mkoa uliopo
Street address jaza address ya posta husika ya mkoa uliopo.. address tafuta zipo online au tafuta namba zao wapigie waulize...
 
Pia naomba msaada kuelekezwa kuhusu payment wakuu.
Unatumia mfumo upi..??
Kama unataka urahisi angalia sehemu ya kulipia kama wanaruhusu MasterCard..
Then unaweza lipia kwa kutumia MasterCard ya mpesa MasterCard.. airtel pia wanayo ila sijawahi itumia naiamini ya voda maana nishaitumia..

Ni rahisi kabisa hata kujiunga ukiwa na hela mpesa unaihamishia mpesa MasterCard chap tu then unafanya malipo hayo yote yanatendeka ndani ya muda mfupi tu ni wewe na simu yako tu au kifaa chako unamaliza kazi unasubiri mzigo wako..

Kama unaswali juu ya mpesa MasterCard wapigie wahusika watakuelekeza kila kitu mkuu hawamezi wale ni watu kama sisi tu hata huyo unaenunua mzigo kwake unaweza kuchati nae akakupa details ambazo unazihitaji...πŸ˜œπŸ˜…

Ukiwa unajua kitu bhana mpk wenzako unaweza ita makomamanga..πŸ˜…πŸ˜…

Mkuu nizoee mi mtu wa masihara..πŸ˜…
 
[emoji316][emoji316] mkuu na vp apo kwenye APARTMENT/UNIT wananichanganya.. sijui elimu yangu ndogo doh
 
[emoji316][emoji316] mkuu na vp apo kwenye APARTMENT/UNIT wananichanganya.. sijui elimu yangu ndogo doh
Nimeshakujibu Hilo mkuu.. hilo sijui Ila nahisi ni namba ya nyumba n.k ngoja wengine wakusaidie lkn kama ingekuwa mimi nisingepajaza..😜
Kwasababu nimeshaandika nchi.. mkoa na address ya posta so kazi kwisha.
 
Nimeshakujibu Hilo mkuu.. hilo sijui Ila nahisi ni namba ya nyumba n.k ngoja wengine wakusaidie lkn kama ingekuwa mimi nisingepajaza..[emoji12]
Kwasababu nimeshaandika nchi.. mkoa na address ya posta so kazi kwisha.
Asante kaka.
 
Zip code inategemea na mkoa wako Kama Ni dar jaza 11000
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…