Manunuzi ya bidhaa mtandaoni; leo tuiangalie Aliexpress na Alibaba

Manunuzi ya bidhaa mtandaoni; leo tuiangalie Aliexpress na Alibaba

toplemon

JF-Expert Member
Joined
Mar 26, 2017
Posts
4,612
Reaction score
4,721
Kwa wanunuzi wa bidhaa mtandaoni; hapa nazungumzia Aliexpress na Alibaba huu ni uzi maalum wa kujifunza kuagiza bidhaa kupitia mtandao huu hususan Aliexpress.

Mjuavyo Aliexpress ni mtoto wa Alibaba. Alibaba imebase kwenye kuuza bidhaa za jumla huku Aliexpress wakibase kuuza bidhaa za rejareja na mojamoja kwa mteja.

Ndio mtandao unaokua kwa kasi na umekuwa na wanunuzi wengi kupita hata Amazon na ebay.

Kupitia uzi huu nimeanzisha hili tuweze kupeana elimu na maarifa kuhusu manunuzi kupitia hizi site kama walivyofanya wenzetu walivyoanzisha uzi wao tukajifunza kuhusu ebay.

Natumai wataalam na wenye uzoefu mpo humu na mtajibu maswali ya wengi wetu tunaopenda kufahamu zaidi na kujifunza kuhusu Aliexpress na maswali mengi yatabase kwenye kila kitu
mfano mpaka bidhaa imfikie muhusika, gharama, system ya malipo, muda, na uimara wa bidhaa n.k

Karibuni sana wadau
 
Tatizo lao ni kwamba bidhaa nyingi zinatoka Asia na huchukua muda mrefu kuwasili hata kama utalipia express km DHL. Pia bidhaa zao wakati mwingine ni hafifu. Naamini kuna 'sellers' wasiyo makini.
 
Tatizo lao ni kwamba bidhaa nyingi zinatoka Asia na huchukua muda mrefu kuwasili hata kama utalipia express km DHL. Pia bidhaa zao wakati mwingine ni hafifu. Naamini kuna 'sellers' wasiyo makini.
well said kaka mkuu hivi ebay nao huwa zinachelewa?
 
well said kaka mkuu hivi ebay nao huwa zinachelewa?
Ebay inategemea mzigo unatoka wapi na kama umelipia gharama za 'shipping' ndani ya wiki 2 unaupata. Pia ebay bidhaa ni halisi na hurejesha fedha haraka ukifikisha 'complaint' yoyote (mzigo usipofika au haufai).
 
wataalamu wa alibaba mtujuze tufahamu. but kumbukeni alibaba ni dalali wa mtandaoni and ebay nimufanya biashara wa mtandaoni. hivyo conection ya mzigo kutoka kwa muuzaji kwenda kwa mteja ni complex sana na alibaba yeye ni kiunganishi tu. but ebay anauza malizake
 
Ebay inategemea mzigo unatoka wapi na kama umelipia gharama za 'shipping' ndani ya wiki 2 unaupata. Pia ebay bidhaa ni halisi na hurejesha fedha haraka ukifikisha 'complaint' yoyote (mzigo usipofika au haufai).
Si mpk uwe na paypal?
 
wataalamu wa alibaba mtujuze tufahamu. but kumbukeni alibaba ni dalali wa mtandaoni and ebay nimufanya biashara wa mtandaoni. hivyo conection ya mzigo kutoka kwa muuzaji kwenda kwa mteja ni complex sana na alibaba yeye ni kiunganishi tu. but ebay anauza malizake
ila ebay naskia hawaship bidhaa africa
 
vp kuhusu makato ya paypal mkuu?
Makato kama ya mitandao yoyote ya kifedha na mabenki, huwezi kukwepa. Lakini ukizingatia ubora wa kitu unachoagiza na bei yake ni nafuu maradufu ukilinganisha na hapa nyumbani. Jiunge uone faida na hasara zake.
 
Ali baba na wish ni nzuri vry cheap but trust me the worst quality sjawahi kuona don't try don't buy unless u want to learn from my experience....use ebay and amazon hutajuta....
 
Makato kama ya mitandao yoyote ya kifedha na mabenki, huwezi kukwepa. Lakini ukizingatia ubora wa kitu unachoagiza na bei yake ni nafuu maradufu ukilinganisha na hapa nyumbani. Jiunge uone faida na hasara zake.
oooh vp nimeulizia kujiunga na paypal wanakata dola 2 afu baadae wanazirudisha nataka kuunga
 
Ali baba na wish ni nzuri vry cheap but trust me the worst quality sjawahi kuona don't try don't buy unless u want to learn from my experience....use ebay and amazon hutajuta....
Wapo vizur sana
 
EBAY NIKISET COUNTRY INAANDIKA UNITED STATE NIKIJARIBU KUBADILISHA INAGOMA KBS HADI INAJILOG OUT HAPO NDO NAWACHUKIA
BIDHAA WANAANDIKA WANASHIP WORLD WIDE UKIAGIZA UKIBONYEZA KWENYE ship TO INAANDIKA USA UKIBADILISHA UANDIKE TANZANIA INAKATAA
KWANI EBAY HAINA OPTION YA KUSHIP BIDHAA TZ?
 
wataalamu wa alibaba mtujuze tufahamu. but kumbukeni alibaba ni dalali wa mtandaoni and ebay nimufanya biashara wa mtandaoni. hivyo conection ya mzigo kutoka kwa muuzaji kwenda kwa mteja ni complex sana na alibaba yeye ni kiunganishi tu. but ebay anauza malizake
but mbona bei zao hawa Ebay zpo sawa na ali express,
lakini kwa mm naona bola alibaba japo cja anza itumia, natumia aliexpress..
Ebay cja ijua vzur mana kila niki ingia nikifanya comparison ya bei, naona ni bola nikatumia aliexpress

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wataalamu wa alibaba mtujuze tufahamu. but kumbukeni alibaba ni dalali wa mtandaoni and ebay nimufanya biashara wa mtandaoni. hivyo conection ya mzigo kutoka kwa muuzaji kwenda kwa mteja ni complex sana na alibaba yeye ni kiunganishi tu. but ebay anauza malizake
Hapana
 
Ali baba na wish ni nzuri vry cheap but trust me the worst quality sjawahi kuona don't try don't buy unless u want to learn from my experience....use ebay and amazon hutajuta....
Hata eBay or Amazon quality ni mbaya kwa sababu ni watu binafsi kila mtu anauza biashara yake wengine kufika China. Ila kabla hujanunua mzigo soma customer review . Bidhaa zikiwa mbaya watu wanaelezea.na bidhaa za huyo mtu zimepata star ngapi.mimi mnunuaji Wa Amazon .ila vitu vidogo vidogo tu.maana sometimes kitu unakiona kwenye screen ukiletewa live kibaya.
 
Back
Top Bottom