Manunuzi ya Joseph Mbilinyi Sugu kwenye Soko la Igawilo huko Mbeya Mjini yaleta mtikisiko mkubwa

mtafutieni Jimbo lingine , vinginevyo mtapoteza spika wenu
Tanzania hii spika akadhindwe na Mbunge wa chama pinzani, ntakuwa nje ya Tanzania kiufupi ni fantasy cheo Cha spika akipatikani hovyo hovyo .
 
Ila haya ma sifa ulivyompamba ni bora ungempelekea ex wake Faiza, mbona Sugu mwenyewe wa kawaida sana. Wengine tunamfahamu Sugu toka amekuja mjini Daslama akapanga chumba kinondoni yupo choka mbaya tunamnunulia bia kwa Manyanya na PR camp. alikua mshamba mshamba tu.
 
Cheap politics.
Uchawa waachieni ccm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…