manunuzi ya laptop online

manunuzi ya laptop online

Sychbh

Member
Joined
Aug 2, 2018
Posts
14
Reaction score
5
wakuu nimejaribu ku search lakini sijaona uzi unaozungumzia hii issue ya kununua laptops na sim online.
nataka kununua laptop moja lenovo x270, soko la bongo hapa kariakoo nilziona duka moja pale mtaa wa kongo ilikua inauzwa 370k lakini sikua na pesa. sasa nikiicheki ebay, minimum price ni USD400. nimeenda lile duka kuichungulia, nikakuta zimaisha.
sasa nataka kujua wale jamaa wa kaliakoo hua wanatoa wapi mizigo? au kama kuna mdau humu wa izi issue za laptop basi atoe ujuzi wake niipate hii machine. nina shida nayo sana hasa kwa sasa baada ya laptop yangu kupiga short
 

Attachments

  • lenovo x270.png
    lenovo x270.png
    86.7 KB · Views: 54
wakuu nimejaribu ku search lakini sijaona uzi unaozungumzia hii issue ya kununua laptops na sim online.
nataka kununua laptop moja lenovo x270, soko la bongo hapa kariakoo nilziona duka moja pale mtaa wa kongo ilikua inauzwa 370k lakini sikua na pesa. sasa nikiicheki ebay, minimum price ni USD400. nimeenda lile duka kuichungulia, nikakuta zimaisha.
sasa nataka kujua wale jamaa wa kaliakoo hua wanatoa wapi mizigo? au kama kuna mdau humu wa izi issue za laptop basi atoe ujuzi wake niipate hii machine. nina shida nayo sana hasa kwa sasa baada ya laptop yangu kupiga short
Labda ilikuwa ni x220 ukaona vibaya kama x270. Huwezi pata 7th gen thinkpad kwa hio hela. Na hio 400usd pengine ni used pia. Thinkpad ni ghali sana.

Kuagizishia online kang ana uzi wake hapa
Nimenunua laptop Amazon.com - JamiiForums
 
wakuu nimejaribu ku search lakini sijaona uzi unaozungumzia hii issue ya kununua laptops na sim online.
nataka kununua laptop moja lenovo x270, soko la bongo hapa kariakoo nilziona duka moja pale mtaa wa kongo ilikua inauzwa 370k lakini sikua na pesa. sasa nikiicheki ebay, minimum price ni USD400. nimeenda lile duka kuichungulia, nikakuta zimaisha.
sasa nataka kujua wale jamaa wa kaliakoo hua wanatoa wapi mizigo? au kama kuna mdau humu wa izi issue za laptop basi atoe ujuzi wake niipate hii machine. nina shida nayo sana hasa kwa sasa baada ya laptop yangu kupiga short
Ntafute nikuuzie Lenovo yangu. HDD: 500 GB, RAM: 4 GB, Processor: Intel Core i3. 0654 168932
 
wakuu nimejaribu ku search lakini sijaona uzi unaozungumzia hii issue ya kununua laptops na sim online.
nataka kununua laptop moja lenovo x270, soko la bongo hapa kariakoo nilziona duka moja pale mtaa wa kongo ilikua inauzwa 370k lakini sikua na pesa. sasa nikiicheki ebay, minimum price ni USD400. nimeenda lile duka kuichungulia, nikakuta zimaisha.
sasa nataka kujua wale jamaa wa kaliakoo hua wanatoa wapi mizigo? au kama kuna mdau humu wa izi issue za laptop basi atoe ujuzi wake niipate hii machine. nina shida nayo sana hasa kwa sasa baada ya laptop yangu kupiga short
Ntafute nkuuzie Lenovo yangu 0654 168932
 
Back
Top Bottom