Manyanyaso gani ulishuhudia dada wa kazi akipata?

Manyanyaso gani ulishuhudia dada wa kazi akipata?

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2021
Posts
9,189
Reaction score
16,128
Nilikuwa na shangazi yangu ambaye alikuwa na dada wa kazi. Kwa miezi mingi hakumpa mshahara. Sasa siku ya kuondoka yule dada ikafika. Shangazi akamwambia. Ulivunja sahami hii na ile, akakata pesa. Mara ulisema pipa likikaa nje hawataiba na wameiba, akamkata.

Mwisho alipewa elfu nane. Nauli ya kwenda kwao kama elfu nne hivi.

Yule dada alinung'unika sana.
 
Nilikuwa na shangazi yangu ambaye alikuwa na dada wa kazi. Kwa miezi mingi hakumpa mshahara. Sasa siku ya kuondoka yule dada ikafika. Shangazi akamwambia. Ulivunja sahami hii na ile, akakata pesa. Mara ulisema pipa likikaa nje hawataiba na wameiba, akamkata.

Mwisho alipewa elfu nane. Nauli ya kwenda kwao kama elfu nne hivi.

Yule dada alinung'unika sana.
Vp shangazi yako saivi Hali yake
 
Back
Top Bottom