Sildenafil Citrate
JF-Expert Member
- Jan 29, 2021
- 577
- 2,595
Watumishi watatu wa TANESCO mkoa wa Manyara, Loren Materu, Emmanuel Thobias na Nassoro Mtime wamefariki dunia baada ya gari lao kugongwa la lori linaloaminika kuwa lilipata hitilafu kwenye breki.
Aidha, watu wengine watatu wamepelekwa hospitali baada ya kupata majeraha.
Swahili Times
Aidha, watu wengine watatu wamepelekwa hospitali baada ya kupata majeraha.
Swahili Times