Manyara: Baba mbaroni kwa kuwabaka binti zake watatu

Disgusting
 

Pale unapojidai unaishi Geneva Na hujui yanayoendelea mazense
 
Lazima itakuwa inahusiana na ushirikina
 
Maajabu sana, kuna dingi jingine huku nnakoishi limeanza kuwagonga watoto wake tangu wasichana mpaka wameolewa, likiwahitaji linapiga tu simu kwa waume zao, linadinya, hovyo kweli
Aiseee
 
Samahani madam .
Is that you ktk dp!?
Una tatizo kubwa Sana kisaikolojia kuhusu unyanyasaji wa kingono kwa wanawake, comments zako kwwnye mada Kama hizi huwa hazifurahishi, wacha nikuongeze kwenye ignore list
Wako mtiifu,
Snap J
 
Anawaita mmoja baadae mwingine hivyohivyo labda anaweza mwambia mkwe wake wanamazungumzo ya kifamilia, anawatoto wa kike wanne, mmoja tu ndio alikataa kufanya upuuzi wao, wengine waliobaki wanaendelea na ujinga wao
Dah!....hii inatisha...huyo mzee na hao watoto wote wana ugonjwa wa akili.
 
Una tatizo kubwa Sana kisaikolojia kuhusu unyanyasaji wa kingono kwa wanawake, comments zako kwwnye mada Kama hizi huwa hazifurahishi, wacha nikuongeze kwenye ignore list
like I phucking care
 
Kuna kipindi niliishi kwa aunt yangu kukawa na mgogoro baina ya aunt na uncle, Aunt akaanza kumpanga mtoto wake wa kike kuwa atafungua kesi kuwa uncle alitaka kum'baka mwanae ikafika hatua Hadi mtoto akayavaa Yale maneno bn, Asee sijui iliishiaga wapi lakini ninachoshukuru hayakufika huko Ila kiukweli mama anaweza akala ubia na watoto wakakupoteza.... Sizungumzi kuwa huyo jamaa kasingiziwa, hapana. Ila tusiblame maana hakuna ajuae ukweli kati yetu...
 
Huu ni unbea. Taarifa hazijajitosheleza.
 
Masharti ya mganga hayo. Haiwezi kuwa akili yake, unasimamia kucha kabisa kwa mtoto wako.
 
Hoja yako ni muhimu mno.... Naomba wadau waizingatie... Hoja yako isipuuzwe!!!
 
Anawaita mmoja baadae mwingine hivyohivyo labda anaweza mwambia mkwe wake wanamazungumzo ya kifamilia, anawatoto wa kike wanne, mmoja tu ndio alikataa kufanya upuuzi wao, wengine waliobaki wanaendelea na ujinga wao
Hawana akili na mama yao yupo wapi mpaka wote anawatafuna, au ndiyo mkewe anamfanya msukule anayetembea mchana [emoji3] laana nyingine hizi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…