Manyara: Bei ya Alizeti yapanda kutoka 30,000 mpaka 60,000 kwa debe

Manyara: Bei ya Alizeti yapanda kutoka 30,000 mpaka 60,000 kwa debe

Nimesikia sasa hiv wanachanganya na mbegu za maboga ndio wanakamua
 
Sasa kama bei ni kubwa hivyo hilo debe la alzeti likikamuliwa mafuta yanatoka kiasi gani?
 
Kuna mtu kazi yake ni kununua na kuficha maghalani malighafi hiyo, kisha anauza kwa bei ya kulangua pale ambapo anakuwa ameshanunua yote kwa wakulima, hakuna logic ya kitu kudouble in price ghafla, hizi ni hujuma, na lazima huyo mtu anaefanya hivyo atafutwe
 
Dah huko wako vizuri,
Huku kwetu debe lina 4000 sasa hvi zao la alizet hatulilimi tena,
Watu wengi msimu uliopita hawakulima, huu msimu nimepanga kupiga 10 hectares Singida za Alizeti tupu.

Uzuri wa hii kitu tunaipaliliaga once tu.
 
Kuna mtu kazi yake ni kununua na kuficha maghalani malighafi hiyo, kisha anauza kwa bei ya kulangua pale ambapo anakuwa ameshanunua yote kwa wakulima, hakuna logic ya kitu kudouble in price ghafla, hizi ni hujuma, na lazima huyo mtu anaefanya hivyo atafutwe
Ona ulivyo bogus hujui vitu unavikurupukia.

Alizeti siku hizi hawailimi nikiwemo mimi na sababu ni price yake ndogo, mfano wa mzingira tunayolima kila mwaka watu wanapanda mahindi tu.

Na mwaka huu itakuwa nyingi kupita maelezo kwa sababu mvua haitokuwa nyingi na dalili tumeshaziona.

Ujuaji uache kubi wewe, hujui hata inalimwaje
 
S
Ona ulivyo bogus hujui vitu unavikurupukia.

Alizeti siku hizi hawailimi nikiwemo mimi na sababu ni price yake ndogo, mfano wa mzingira tunayolima kila mwaka watu wanapanda mahindi tu.

Na mwaka huu itakuwa nyingi kupita maelezo kwa sababu mvua haitokuwa nyingi na dalili tumeshaziona.

Ujuaji uache kubi wewe, hujui hata inalimwaje
sawa 60,000/= ni ndogo, kwani nimebisha 😂
 
Ninamashaka na hiyo habari hasa hapo kwene figures 60,000=/ ELFU SITINI.?
wanasema ili upate Dumu/ndoo ya mafuta ya alizeti yenye ujazo wa lita 20 zinahitika sio chini ya debe 7 za alizeti,haya tupige hesabu debe moja 60,000 × 7=420,000
sema LAKI NNE NA ISHIRINI.!
 
Sasa kama bei ni kubwa hivyo hilo debe la alzeti likikamuliwa mafuta yanatoka kiasi gani?
Labda atakuwa alimaanisha gunia? Maana debe hata kama ungeuza na mashudu huwezi kurudisha huyo pesa!
 
Back
Top Bottom