Manyara: Kimbunga kikali kilivyozua taharuki Mjini Babati

Manyara: Kimbunga kikali kilivyozua taharuki Mjini Babati

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Kimbunga kikali kimezua taharuki katika Mji wa Babati mkoani Manyara, video ikionesha matanki tupu ya maji yakirushwa angani.
Huko kwenu kimbunga kama hiki mnakiitaje?
 
IMG-20241007-WA0000.jpg
 
Sasa huo mluzi wa upepo ndio mnapiga kelele hivyo
America wao kimbunga upana wa maili moja na unasomba kila kitu mbele yake
Angalia El Reno tornado ilivunja rekodi kwa speed ya 313 miles/ hour na upana wake 2.6 mile
Sasa hako kaupepo unasema balaa hiyo
 
Sasa huo mluzi wa upepo ndio mnapiga kelele hivyo
America wao kimbunga upana wa maili moja na unasomba kila kitu mbele yake
Angalia El Reno tornado ilivunja rekodi kwa speed ya 313 miles/ hour na upana wake 2.6 mile
Sasa hako kaupepo unasema balaa hiyo
Poor reasoning capacity try to be serious
 
Back
Top Bottom