Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Jamaa anadeka mnoo,,mbona sisi tuko huku Dodoma ndani ndani Mtunguchole,, hivyo ni vitu vya kawaida mnoohamna kimbunga hapo mkuu acha kudeka
nimemshangaa ππππJamaa anadeka mnoo,,mbona sisi tuko huku Dodoma ndani ndani Mtunguchole,, hivyo ni vitu vya kawaida mnoo
Bila shaka wewe umekulia mjini...Kimbunga kikali kimezua taharuki katika Mji wa Babati mkoani Manyara, video ikionesha matanki tupu ya maji yakirushwa angani.
Huko kwenu kimbunga kama hiki mnakiitaje?
Kudeka π€£π€£π€£π€£hamna kimbunga hapo mkuu acha kudeka
We ndio haupo serious duststorm unaijua?!Mkuu hicho ndicho umekiita kimbunga?? Asee hauko serious!
Poor reasoning capacity try to be seriousSasa huo mluzi wa upepo ndio mnapiga kelele hivyo
America wao kimbunga upana wa maili moja na unasomba kila kitu mbele yake
Angalia El Reno tornado ilivunja rekodi kwa speed ya 313 miles/ hour na upana wake 2.6 mile
Sasa hako kaupepo unasema balaa hiyo