Manyara: TAKUKURU yapokea malalamiko 64 ya rushwa, kuna kesi 26 Mahakamani

Manyara: TAKUKURU yapokea malalamiko 64 ya rushwa, kuna kesi 26 Mahakamani

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
Taasisi Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoani Manyara imetoa ripoti yake kwa muda wa miezi mitatu, Januari hadi Machi 2022.

TAKUKURU imetoa elimuya rushwa na athari zake katika jamii, kwa askari wa Jeshi la Polisi eneo la Tengefu la Mirerani.

Pia imefanya semina 31, mikutano ya hadhara 29, vipindi vya redio 6 na maonesho 5.


UTENDAJI PRESS -_page-0001.jpg

UTENDAJI PRESS -_page-0002.jpg


UTENDAJI PRESS -_page-0003.jpg


UTENDAJI PRESS -_page-0004.jpg
 
Back
Top Bottom