Numbisa JF-Expert Member Joined Dec 12, 2016 Posts 301,221 Reaction score 1,172,274 Oct 15, 2024 #21 Hatari sana
muhomakilo jr JF-Expert Member Joined Jul 28, 2013 Posts 15,301 Reaction score 13,858 Oct 15, 2024 #22 Mjumbe kamati ya fedha kauza mechi.
Angel Nylon JF-Expert Member Joined Jul 26, 2011 Posts 9,164 Reaction score 18,402 Oct 15, 2024 #23 King Kong III said: Nimeitafuta sijaiona kabisa. Click to expand... Inawezekana wameifuta. Nilisoma jana habari hio, sambamba na mtt mwengine aliechinjwa na kuwekwa mvunguni na mtuhumiwa kukutwa na risiti za vifo za tangu mwaka 1997
King Kong III said: Nimeitafuta sijaiona kabisa. Click to expand... Inawezekana wameifuta. Nilisoma jana habari hio, sambamba na mtt mwengine aliechinjwa na kuwekwa mvunguni na mtuhumiwa kukutwa na risiti za vifo za tangu mwaka 1997
King Kong III JF-Expert Member Joined Oct 15, 2010 Posts 56,205 Reaction score 79,515 Oct 15, 2024 #24 Angel Nylon said: Inawezekana wameifuta. Nilisoma jana habari hio, sambamba na mtt mwengine aliechinjwa na kuwekwa mvunguni na mtuhumiwa kukutwa na risiti za vifo za tangu mwaka 1997 Click to expand... Yes ndiyo hiyo hiyo ya kuwekwa uvunguni mwa kitanda na kukuta risiti 50 za vifo....Inasikitisha sana ,cha kushangaza pamoja na kuua watu wote hao bado alikuwa anaisha maisha magumu sana.
Angel Nylon said: Inawezekana wameifuta. Nilisoma jana habari hio, sambamba na mtt mwengine aliechinjwa na kuwekwa mvunguni na mtuhumiwa kukutwa na risiti za vifo za tangu mwaka 1997 Click to expand... Yes ndiyo hiyo hiyo ya kuwekwa uvunguni mwa kitanda na kukuta risiti 50 za vifo....Inasikitisha sana ,cha kushangaza pamoja na kuua watu wote hao bado alikuwa anaisha maisha magumu sana.
Countrywide JF-Expert Member Joined Mar 2, 2015 Posts 20,694 Reaction score 32,527 Oct 15, 2024 #25 Huenda kilichofanya auliwe sio laki 4 Bali kauli zake
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Oct 15, 2024 #26 Kijumbe kauwawa... Pole yao sana wafiwa... Cc: Mahondaw